Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mimi mwenyewe hakuna timu siipendi duniani kama Barca ndio maana leo nikawa mshabiki feki wa livapuru lkn goli la tatu Messi alivyoshinda nikashangilia tu yaani automatic mwili ukaniambia wewe kijana kwa nini ujitese basi tokea muda huo nikashabikia rasmi Barça mpk mpira unaisha

Nadhani leo mkuu utakuwa na furaha?
 
Timu imecheza vizuri sana tuliwazidi barca kila kitu,mbinu ya kumueka gini kule pembeni imefanya kazi.klopp alikuwa na mbinu nzuri kabisa .

Washambulia wamenzingua wanakosa magoli ya wazi halafu wanakuwa na wasiwasi kwenye kufunga,tunashindwa kufunga hata nafasi za wazi.

Na pia Kuumia kwa keita pia kumechangia,Henderson alivyoingia akaalibi awezi kudrible yeye anatoa passi tu .

kipindi cha pili mwanzoni barca wakawa wanautafuta mpira kwa torch .barca walikamatwa kila engo.

Timu imecheza vizuri sana,nafasi za kufunga tunakosa,me sikuwa na pressure ya kushambuliwa kila wakati maana muda mwingi Liverpool ndio anamiliki mpira.

Kikubwa kwenye kuscore tu forward zetu zimeonekana kupoteza umakini .

Barca wakawaida sana hawana mpira wowote wa kutisha. In klopp we trust.

Nilisema barca wakawaida sana
 
Bangi mbaya sana ubaya wa Liverfool mnakujaga na matokeo yenu mkononi anflied mkikaza Kwa nguvu ya bange mnatoa draw

Mkuu anfield tumeshinda 4 bila.niliongea hapa dak10 za mwanzo tukipata goli tunawatoa hao.tumepata goli dak7.,ulichonijibu ndio nilichokiwekea hapo juu.

Mkuu me mpira naujua vizuri sana tu.
 
WINNERS

IMG_20190508_030051.jpeg
 
Mkuu anfield tumeshinda 4 bila.niliongea hapa dak10 za mwanzo tukipata goli tunawatoa hao.tumepata goli dak7.,ulichonijibu ndio nilichokiwekea hapo juu.

Mkuu me mpira naujua vizuri sana tu.
Fukua baba na hatulali every body say yeeeaaaaah chiiiiiiiiiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom