Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Hahaaaaa wewe jamaa mchokoz sanaMungekuwa na ntu kama Higuan au Hazard msingepigwa nyingi ivyo..hahahahahahahaha
Hahaaaaa wewe jamaa mchokoz sanaMungekuwa na ntu kama Higuan au Hazard msingepigwa nyingi ivyo..hahahahahahahaha
Duuu 😁😁😁😁😁 cc King NgwabaMnakomaa mpk Mei alafu vikombe vyote mnapoteza within 2 weeks.. Hii haina tofauti na kujifunika shuka alafu unajamba![]()
Duu jamaa anakaba kwa macho. Poor van dijk
Hahahaahahaangetakiwa atumie ile tuzo aliyopewa kuzuia goli






huu sasa uchokozi....
Tena Matata sanahahahahaha Pierre super sub iyooo![]()
Apo ata wangeunganishwa makipa watatu huu mpira wasingedaka...
Lingekuwa lile pazia lako LENO ndio lingeufata sio
RelaxLingekuwa lile pazia lako LENO ndio lingeufata sio
HaaaaaaaaYan kwanza liverpool wajitoe EPL kabsa waende championship kikos kizima kama kilivyo kikabebe hata kombe la Champiomship ndy waje epl tena.
Hata nzi hawabebi msimu huu
Mess sijui kamtorokaje paleBeki wa Dunia leo alikuwa mpenzi mtazamaji, refer goli la pili
Huu hata makipa wote 20 wa EPL wakiungana apo awadaki







Waongea kiingereza hao u known kibao kumbe mavi tuMtazame shabiki wa Livapuru popote ulipo, mkumbatie kisha mwambie HAKIKA WEWE NI MSHINDI![]()