OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Kuna mida Messi ataki kuonesha uwezo wake ila iwezo unalazimisha kuonenaka....Alitamba sana akasahau barca ni wakawaida ila wana messi anazijua mechi kubwa kuzimaliza kwa sekunde
Kuna mida Messi ataki kuonesha uwezo wake ila iwezo unalazimisha kuonenaka....Alitamba sana akasahau barca ni wakawaida ila wana messi anazijua mechi kubwa kuzimaliza kwa sekunde
Ile nou camp jaman, kwanza mashabik WA liver waliwekwa kule juu kabisa halafu walikuwa wachache, halafu marefa wanatoa advantage sana kwa barca akiwa nou camp,Kabisa barça hadi wakawa kama wanapaki basi kimtindo mimi naona kikosi pamoja na Subs aliyumba Firmino alitakiwa sub yake aingie mapema
Kabisa barça hadi wakawa kama wanapaki basi kimtindo mimi naona kikosi pamoja na Subs aliyumba Firmino alitakiwa sub yake aingie mapema
Kabisa, kama Leo alikuwa WA kawaida, anawatengenezea wenzake, wanazingua, wanamkaba wawili wawili, lkn nafas hizo hizo alizopata kafanya azungumziwe,Kuna mida Messi ataki kuonesha uwezo wake ila iwezo unalazimisha kuonenaka....
Kiufupi tu ni kuwa Barca ilicheza kama Liverpool na Liverpool ilijifanya kucheza kama barcaTimu imecheza vizuri sana tuliwazidi barca kila kitu,mbinu ya kumueka gini kule pembeni imefanya kazi.klopp alikuwa na mbinu nzuri kabisa .
Washambulia wamenzingua wanakosa magoli ya wazi halafu wanakuwa na wasiwasi kwenye kufunga,tunashindwa kufunga hata nafasi za wazi.
Na pia Kuumia kwa keita pia kumechangia,Henderson alivyoingia akaalibi awezi kudrible yeye anatoa passi tu .
kipindi cha pili mwanzoni barca wakawa wanautafuta mpira kwa torch .barca walikamatwa kila engo.
Timu imecheza vizuri sana,nafasi za kufunga tunakosa,me sikuwa na pressure ya kushambuliwa kila wakati maana muda mwingi Liverpool ndio anamiliki mpira.
Kikubwa kwenye kuscore tu forward zetu zimeonekana kupoteza umakini .
Barca wakawaida sana hawana mpira wowote wa kutisha. In klopp we trust.
Kesho tutaendelea kufurah kama leo maana Valencia hawatotuangusha kabisa..Kesho ndio tunarejea kwenye reli, hata muhind kawaua hao wa Spain ,kama unajiamin muue arsenal , na uweke mkeka hadharan
Isije wewe ukabondwa, kuna MTU anaitwa jovic na rebik ,Kesho tutaendelea kufurah kama leo maana Valencia hawatotuangusha kabisa..
Daaah weeee jamaaaaaMCHEZAJI BORA WA EPL HANA TOFAUTI NA ALLY SONSO WA KCMC







Ile nou camp jaman, kwanza mashabik WA liver waliwekwa kule juu kabisa halafu walikuwa wachache, halafu marefa wanatoa advantage sana kwa barca akiwa nou camp,
Liver Leo alikuwa afe tu
Bangi mbaya sana ubaya wa Liverfool mnakujaga na matokeo yenu mkononi anflied mkikaza Kwa nguvu ya bange mnatoa drawBarca wa kawaida sana,anfield pale tunawakalisha hawa.anfield pale dak10 za mwanzo tuki pata goli tunawatoa hao.tutabrow zeiya maindi without magic.
Mechi: 801
Magoli: 600
Assists 199
Mechi: 683
Magoli: 600
Assists 233
Tufunge mjadala au tuendelee?Mungekuwa na ntu kama Higuan au Hazard msingepigwa nyingi ivyo..hahahahahahahaha
Kuna mida Messi ataki kuonesha uwezo wake ila iwezo unalazimisha kuonenaka....
Barca kukaa nyuma refa inamuhusu nini?Kabisa yani leo Refa hakuwa fair kabisa, yani Barca hakuna alichocheza kabisa zaidi ya kupaki basi tu golini, Liverpool hakustahili kupoteza hii mechi hata kdg
Tufunge tu mkuu KING LEOMessi vs Ronaldo ngazi za vilabu
::
Cristiano Ronaldo:Mechi: 801
Magoli: 600
Assists 199
::
Lionel Messi:
Mechi: 683
Magoli: 600
Assists 233
::
Tufunge mjadala au tuendelee?
Messi vs Ronaldo ngazi za vilabu
::
Cristiano Ronaldo:Mechi: 801
Magoli: 600
Assists 199
::
Lionel Messi:
Mechi: 683
Magoli: 600
Assists 233
::
Tufunge mjadala au tuendelee?
Wewe umeangalia?Kawadanganye wasioangalia mpira huko
Poleni sana japo mlijiaminisha ujinga. Gemu vs Huddersfield mkajipa matumaini hewa ya kuifunga Barcelona.
Msipo kuwa makini kwenu mnakufa tena.