Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mwaka jana AS Roma walimuondoa Barca kwa staili ngumu
Cam nou Barca alishinda 4-1
Roma akashindwa kwa 3-0 na kutolewa wachezaji hawa hawa
Kipa wa Roma alikuwa ni huyu huyu wa Liverpool, Alison
Liverppol wamtumie Alisson maana siri ya ile comeback waliotumia Eusebio De Francesco mwaka jana anaijua

ha ha haaaaaa mpira ni mchezo wa watu 11 team work ni muhimu saana
 
Itabidi nicheke tu! Yani kipigo Kitakatifu chote tulichochezea still anatokea Mtu analeta excuse? Kweli huyu ni Malafyale! Sijui hili jina kwa kabila lake lina maana gani!
Nilichogundua kingine king unampenda Sana malafyale maana kila mda unamtaja taja Sana...Akija usianze kulalamika chief.
 
Liverpool fans wanasema "Barcelona hawana cha kutisha walishinda kwa bahati tu"......
Sasa kwani hata we si uliona walikua wa kawaida tu,bahati ilikua upande wao jana.ila uwezo wao ni km akina Brighton tu.
 
Hii mechi imeondoa ile morale ya Liverpool kushindana na Man City kwenye tittle race,
Kwa mechi mbili zilizobaki matokeo yatakuwa hivi
Newcastle anakula 1-1
Wolves anakula 2-1
Haujakosea mkuu
 
Jana nimechakazwa balaaaaa, sokoine nilitoka bila, camp nou nako but mm bado na uhakika Liverpool atampiga Barcelona na kumtoa kwenye mashindano, piga ua Liverpool anaenda fainali
Hahahaha haumuwez labda kama anadaka kindoki sio Terstegen
 
Pale Anfield lazima washinde. Beki ya Barca ni nyepesi sana sijui kwa nini wameshindwa kupata goli la ugenini. Tatizo litakua kuwazuia na wao wasifunge.
Sijuagi mnatumia kigezo gani kusema beki ya Barca ni nyepesi nahisi mko brainwashed tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom