Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,179
Yametimia.Barca 3-1 Liver. Maono yangu.
Yametimia.Barca 3-1 Liver. Maono yangu.
Umeingiziwa mpini nn uko nyuma?Mechi ya marudiano Liverpool 4 - 0 Barcelona, hii iwekwe ktk kumbukumbu ili Mawatu yaaibike vzr.
Wamebebwa kiaje?Kwani unateseka sana kuelezwa ukweli kuwa Barca ilibebwa![]()
Kwani hapo mnachart?Ndipo hapa akili zako zilipofikia kiupeo, kumbe nachati na jinga jinga lisilojielewa![]()
Barca wanaenda kutafuta draw pale ..ci unajua Anfield ni uwanja m'gumu banaShughuli imeisha. Anfield mnaenda kushinda 2-1 au 3-2.





Wewe sio Chelsea fan bana ..wee utakuwa mamluki tu ..au ndo unatafuta timu ya kuisupport ..me naona liverpool inakufaa sana mkuub..achana na The BluezMi ni Chelsea fan mwenzako lkn penye ukweli huwa sipindishi, hata hivyo bado marudiano dkk 90, so kuwa mpole tu.



Hahahahaha mkuu AROON misiba kama hii hakunaga kulia maana marehemu alikuwa ni kibibi kilichozeeka sana ..hapa ni mwendo wa kufurahi mpka apo jumanne tutakapo kamilisha mazishi yake na kumpumzisha marehemu kwenye nyumba yake ya milele





Una Mane Salah uko wachezaji wa mchangani unategemea kupata ushindi mnono mbele ya BarcaKawadanganye wasioangalia mpira huko






Hahahaha leo ni leo mzee babaa ...Yale Yale ya janaaaaa....VALENCIA wanakuzoom tu.Isije wewe ukabondwa, kuna MTU anaitwa jovic na rebik ,
Mm kesho mapema tu naingia kamban,
Ishia apo mzee babaaMessi vs Ronaldo ngazi za vilabu
::
Cristiano Ronaldo:Mechi: 801
Magoli: 600
Assists 199
::
Lionel Messi:
Mechi: 683
Magoli: 600
Assists 233
::
Tufunge mjadala au tuendelee?






Kinachoenda kuwaponza ni jerseys nyeupe. Barca watawaona kama Madrid vile
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()







Suarez kwa nini unashangilia hivyo?
Ila kule Anfield mtashinda,msiwe na hofu.
Barca walizidiwa sana walikuwa wanapata shida kuwakaba wachezaji wa Liverpool ndio maana wachezaji kibao wa barca wamepewa card za njano.
Suarez alikuwa anataka wachezaji wa Liverpool watolewe nje acheze peke yake,refa akampa card.
Sasa yeye anataka wachezaji wa Liverpool wapewe card watoke acheze peke yake.
Kama ndio amriyake wachezaji wote wa Liverpool alikuwa anataka wapewe card nyekundu watolewe acheze peke yake,this bastard is shit.