THOMASS SANKARA
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,066
- 4,769
Poleni sana watani
Kwa lugha ya mtaani tunasema "pakiti nzima imetumika"



Kwa lugha ya mtaani tunasema "pakiti nzima imetumika"








hahahahahahahahaha acha nicheke mkuu....Nilichojifunza leo............. Klopp is no big game Manager
Hii ndio laana sasa, kama ya BenficaThis is my favourite pic alwaysView attachment 1085889
Mkuu msimu huu hubebi chochote ,nilikwambia acha ujuaji tulia ,kazi kunisumbua kwenye Uzi wetuWewe unayepigwa 3 O'clock kila mechi leo umepata pa kujifariji subiri kesho
ALLISON HANA TOFAUTI NA KAULIUS JAPO UKWELI NI MCHUNGU KUUSEMABecker anajifanyaga mjanja sana..aendeleee kuleta clean sheet za huddersfield uefa
dembele na semedo wangetulia leo mtu angelula sita.Tuseme Barca 3 - Liverpool 3
Tuta comeback wakija Anfield![]()
Ndy muelewe sasa man u na ss tuliteseka kisa uwepo wake uwanjani
Kwa energy waliyotumia msimu huu, huenda wakabid wasubir misimu kadhaa kupigania ubingwa tenaLiverpool hapat chcht msimu huu....wangekomaaga hata na carabao....ni kapa tena
Tulikuwa chimbo tuna wazoom tu ...hahahahahaTumeleta pole zetu mkuu ..huu msiba ni wetu sote..Ollachuga Oc kama kawaida ushatia timu ,hukawii
Mkuu hakuna kocha au mchezaj asiyependa kombe tukubal tu kocha wetu naye anawalakini hiv nikuulize n miaka mingap imepita toka tupate kikombe hata hicho unachokiita kidogo! klopp ajitafakar kama hela ya usajir amepewa tunataka matunda ya pesa aliyopewa s vngnevyoWanazarau hivyo vikombe vya futuhi, tofauti na PEP anakomba yote, kombe la mfalme, Karabao, na sasa FA na EPL yote PEP atazibeba hana mazarau, ila Livber wana mazarau sana na hivi vikombe vidogo
Labda mess asiwepoTuseme Barca 3 - Liverpool 3
Tuta comeback wakija Anfield![]()
Kwa energy waliyotumia msimu huu, huenda wakabid wasubir misimu kadhaa kupigania ubingwa tena
hivi unaanzaje kufunga nne alafu wao wamesimama tu?Kwahy tutegemeee comeback?