Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wanazarau hivyo vikombe vya futuhi, tofauti na PEP anakomba yote, kombe la mfalme, Karabao, na sasa FA na EPL yote PEP atazibeba hana mazarau, ila Livber wana mazarau sana na hivi vikombe vidogo
Mkuu hakuna kocha au mchezaj asiyependa kombe tukubal tu kocha wetu naye anawalakini hiv nikuulize n miaka mingap imepita toka tupate kikombe hata hicho unachokiita kidogo! klopp ajitafakar kama hela ya usajir amepewa tunataka matunda ya pesa aliyopewa s vngnevyo
 
Ukweli ni kwamba Liver walicheza vizuri. Tofauti ni kwamba kwenye viwango vya washambuliaji wa Liver na Barca. Huwezi kumlinganisha Suarez na Mane au Messi na Salah
Short on target za Liver 5 , Goals =0
Short on target za Barca 4, Goals 3
Hapo ndio tofauti
 
Yan kwanza liverpool wajitoe EPL kabsa waende championship kikos kizima kama kilivyo kikabebe hata kombe la Champiomship ndy waje epl tena.

Hata nzi hawabebi msimu huu
Kwa energy waliyotumia msimu huu, huenda wakabid wasubir misimu kadhaa kupigania ubingwa tena
 
Kwahy tutegemeee comeback?
hivi unaanzaje kufunga nne alafu wao wamesimama tu?
kibaya zaidi anfield liver atakuwa anafukuza mchezo, watalazimika kusonga sana mbele na magepu ya nyuma ndio zile kaunta walizokosa kina dembele sasa sidhani oama messi na suarez watakuacha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom