Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool hapat chcht msimu huu....wangekomaaga hata na carabao....ni kapa tena
Messi 2, Suarez 1 vs Liverpool 0

Mliwacheka Sana Man U mkaja na zile recordi zenu Mara Messi hajawahi funga Liverpool na kamwe hawezi.

Nawaonea huruma balaa. Matakavyokuwa na pressure, huku mnawaza ubingwa wa ligi. Kule Barca wanawaza Ucl tu.

Ila angalieni msikose vyote manake watu watapiga hema hapa mpaka msimu unaanza
 
Jamaa wakija ni english tu humu

Yaani daaah, ni mwendo wa uchambuzi na kutukana wenzao kwa kingeleza tu huku wakificha aibu yao kama ndege mbuni kwenye mchanga.

You guys, nasema tena kwa mara nyingine "You Will Never Win Anything This Season" under huyo kocha wenu mwenye kiseyeye, he his manager of losing side tangu akiwa B.Dortmund.
 
This is my favourite pic always
20190501_081505_rmscr-1.jpeg
 
Kaz anayoweza klopp n kuwakumbatia wachezaj na kupunch upepo mwaka wa ngap huu hata kikombe cha UJI hakuna inaumiza sana kwa kweli
Wanazarau hivyo vikombe vya futuhi, tofauti na PEP anakomba yote, kombe la mfalme, Karabao, na sasa FA na EPL yote PEP atazibeba hana mazarau, ila Livber wana mazarau sana na hivi vikombe vidogo
 
Ha ha ha tumefungwa kihalali pia selection ya timu nayo imetuangusha lazima tukubal wana Liverpool wenzangu barca ipo juu zaidi yetu na tumeona zile kelele zetu toka mwaka Jana nakumbuka tulisema maneno ya kejel juu ya barca lakn ukwel timu za Spain huwa hatuziwez fuatilia final ya Europa chn ya huyu klopp tulipigwa final uefa Madrid akatupiga Leo semi final uefa barca anatuweka
IPO juu yetu kwa kipi labda,tumekutana Leo statistcs zinaonyesha tumewazidi karibu kila kitu.insu hapa no klopp ndio kazingua
 
Messi 2, Suarez 1 vs Liverpool 0

Mliwacheka Sana Man U mkaja na zile recordi zenu Mara Messi hajawahi funga Liverpool na kamwe hawezi.

Nawaonea huruma balaa. Matakavyokuwa na pressure, huku mnawaza ubingwa wa ligi. Kule Barca wanawaza Ucl tu.

Ila angalieni msikose vyote manake watu watapiga hema hapa mpaka msimu unaanza
Kwani unahisi watapata nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom