Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wapendwa fuatilieni statistics za Messi, mwaka huu yuko kwenye top form ya Maisha yake ya mpira
Kama Liverpool wanataka wacomeback, aidha wamuombee augue jumanne ya wiki ijayo au waweke plan ya kumkatia mawasiliano
Jamaa yuko kwenye top form ya taaluma yake ya mpira mwaka huu
Laliga 34 goals and 13 assists
UEFA 12 goals
Copa Delaray 2 goals
Anaweza kuwa kashafikisha magoli 50 na bado anaendelea kufunga
Upo sahihi kabisa ,msimu huu nyota imemuwakia tena
 
Timu nzuri sana ya liverpool kwa imefungwa sawa na timu mbovu sana ya utd at nou camp.
 
Tulia ww hakuna jipya apo fainal Ajax vs Barca ndoo anabeba Barca wale watoto kitakacho wauwa uzoefu hawana dakika za mwisho wataachia messi atawauwa nyingi sana

Man city ndyo bigwa epl hakuna wa kumzuia na ballon d'or anachukua king Messi over
 
Tulia ww hakuna jipya apo fainal Ajax vs Barca ndoo anabeba Barca wale watoto kitakacho wauwa uzoefu hawana dakika za mwisho wataachia messi atawauwa nyingi sana

Man city ndyo bigwa epl hakuna wa kumzuia na ballon d'or anachukua king Messi over
Ni kweli mkuu.
Ila tatizo bora ajax kuliko spurs.
Na ajax hana chakupoteza.
So anything can happen.
 
Pale kwa Salah wangemweka Bokko angalau matokeo yangekuwa mazuri, si mnajua Bokko anafanya nini pale kwa mnyama
 
We call it SADISM. They are all bunches of sadists. They are in peace when they see the higher level/higher class fellows suffer.
ukifungwa bwana hadi mashabiki wenye timu mbovu - wanaona ndo wakati wa kupunguza machungu
#arsenal fans
#real madrid fans
#chelsea fans
#red devil fans
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom