Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Lineup hii hapa. Fabby kaanzia bench, Milne na Captain Heddo wameanza.
Screenshot_20190313-215136_All Football.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi yupo Dortmund kaibonda zaidi ya mara tatu hiyo Bayern hapo hapo unapopasema pagumu...
Ukiangalia historia ebu kaicheki AJAX HISTORIA YAKE PALE SANTIAGO IPOJE KABLA YA WIKI ILIYOPITA..

Sent from my CAG-L22 using JamiiForums mobile app
Historia haina nafas yeyote kweny mpira wa sasa ..muhimu ni kwamba leo liverpool hatoki..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna tofauti kubwa Sana ukiwa namba moja na waliokuwa namba za chini yako hiyo ni kote hata kwenye maisha tu....
Sisi tucheze defensive game wakat hatuna Cha kupoteza kweliii?!?hata dunia itamcheka klopp..
Kuanza kwa llallana kwenye gemu iliyopita ni ishara tosha hakuna kubaki baki nyuma Tena kwenye epl ..

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu unakumbuka Nilipokuquote ukareply hivi?
Bado hujamjua Klopp lakini karibu utamjua ni nani!
 
Aisee...anyways lets hope for the good however on paper after line up reveal it may appear we are less favourite.We once played against Kaka,Seedorf,Dida,Cafu,Stam,Nesta,Maldini,Gattuso,Crespo,Shevchenko,Pirlo...those days.Our fantastic captain came MOTM afer a great ever comeback...Our team scored three in seven minutes to make a tally of 3-3..
Meen...Just a piece of memory to build a positive attitude towards a match ahead...you need to do this when you think your line up is poor and you like your team to win...and the decision on who to play only made my one gaffer...
 
Liverpool kwenye EPL imefunga magoli 68 (exclude FA, Carabao and CL)..
Lakini kwenyevmagoli yote haukuonekana mchango wa yeyote aliyehusika wala aliyeassist, bali yameonekana Magoli ya Juzi na Kupaishwa kila pahali kisa tu eti Lallana kahusika!!

Sijui angeliassist au kufunga ingelikuaje?

Liverpool tuna mambo kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom