Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Mpaka sasa hivi man city kapoteza(alifungwa )mechi 4, kwenye hizo alizopoteza alicheza na crystal palace alifungwa akiwa nyumbani,alifungwa na newcastle na Leicester city.
Kwenye mechi alizobakiza city kabakiza na timu zilimfunga round ya kwanza.nimezitaja hapo.
Ndio Maana tunasema city lazima will drop point.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ikiwa ni Hivyo tulimfunga Leicester Away lakini tulishindwa kumfunga Nyumbani.
Round ya Kwanza tuliwafunga Everton, Man United na West Ham lakini Second round tumeshindwa kuzifunga timu hizo.
So, iwapo Man City yupo katika Risk ya Kudrop points, kwanini Liverpool asiwe katika position ya kudrop points?
Mimi nahisi sisi Liverpool ndiyo tupo katika risk kubwa zaidi ya kudrop points kwenye michezo iliyobakia.
Kwanza Klopp atakavuoiaproach game ya Chelsea with defensive minded basi niwazi kwenye game hii tutadrop points.