Kwahiyo Katika hizo unazoziita Few Cases ndiyo Kina Mane, Salah na Firmino hawezi kuwa miongoni mwa few cases si ndiyo?
Hebu niambie kwa Mara ya Kwanza Man United kubeba EPL mwaka 1992 Ferguson alikuwa na Historia ya Kubeba Makombe Mangapi ya EPL?
Na Je Wachezaji wa Man United wa Kipindi hicho walikuwa wameshabeba Makombe Makubwa Mangapi hata wakaweza kubeba EPL?
Blackburn mwaka 1995?
Chelsea mwaka 2005?
Arsenal kwa Mara ya kwanza baada ya kuja Wenger?
Leicester City?
Deportivo La Coruna kubeba Laliga mwaka 2000 mbele ya Real na Barcelona?
Marseille kubeba CL mbele ya AC Milan ya Kina George Weah mwaka 1993?
Dortmund kubeba Bundes Liga mbele ya Bayern?
Je unahitaji mifano zaidi?
Mkuu kama huna data bora nyamaza kimya usiaibike!
Jifunze kuchambua mpira sio ueke hisia zako kuwa ndiyo principles!
Narudia tena! Nikiwa Nimekuekea Mifano hai kabisa hakuna Uhusiano wa Kubeba Makombe na kuto kubeba Makombe kuwa ndiyo kutawezesha uweze kubeba makombe.
Liverpool Haibebi Makombe kwa Ubovu wake tu lakini si Kwasababu wachezaji wake hawajawahi kubeba Makombe.
Kama ni Hivyo hata Siku moja OLYMPIC MARSEILLE amabayo haikuwahi kubeba Kombe kubwa hata moja isingebeba CHAMPION LEAGUE mwa 1993 kwa kumfunga AC MILAN iliyokwisha kubeba kila kitu.
Ukija njoo na Data sio uniquote kwa hisia.