Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
yeah walimtoa kama precaution...hope haitakua long term tena we need this boy to bring th best of Salah maana kwa sasa amekua butu kutokana na mid wetu..
yeah walimtoa kama precaution...hope haitakua long term tena we need this boy to bring th best of Salah maana kwa sasa amekua butu kutokana na mid wetu..
lakini kumbuka pia hao mandogo wanataka waodoke kwenda ujeremani soko lao limenoga..Unaeza shangaa tukafanya maajabu mkuu.
Tuna madogo wengi tutawarudisha..
Sent using Jamii Forums mobile app
Lovren ni mchawi sio bure..C
Coz Lovren is still the coaches favourite man and because he played WC final..
Can you imagine kuna games aliiacha best patnership ya Gomez na VVD.. ili tu lovren aanze.. then Gomez akarudishwa RB!!
Man Barca pia wanamhitaji same as Juventus, Bavarians...well t depends wt which team il react swiftly...
kama ni mzuri Klopp atamchezesha tu. nakumbuka kuna watu walikuwa wanasema hivi hivi wakati ule VVD anakaribia kujiunga.C
Coz Lovren is still the coaches favourite man and because he played WC final..
Can you imagine kuna games aliiacha best patnership ya Gomez na VVD.. ili tu lovren aanze.. then Gomez akarudishwa RB!!
let's hope the VVD pool factor will work in our favour.Man Barca pia wanamhitaji same as Juventus, Bavarians...well t depends wt which team il react swiftly...
i see him going to Barca same as De Jong
price might be th problem..remember our owners are "we sell n buy basis" so to get that talented kid got to sell...selling al th dead woods wont fetch £50+m needed to get this boy...let's hope the VVD pool factor will work in our favour.
Yaani kuna watu humu ni wabishi tu kutetea utamadun wa kiingereza wa liverpool na stooges zilizoletwa kuharibu timu,, Kama tunakumbuka coutinho alivoondoka Ox na Gini waliclick kwenye game zao tukawa vizur sana especially Uefa then league.. baada ya hapo am not sure ni when katu ya march mwshon hadi april Ox akapata injury tukaanza kustruggle sana kwenye league kias kwamba our last league match ndo ikaamua tufuzu UEFA wakat before that tuliwaza position 3 ila ikawa otherwise
fainali Klopp ndo akaharibu mech kabisa kwa kumuingza lallana aliyepata 22 touches in the whole game.. Hatukua na Ox na coach alianza na brexit midfield
great observation, Mr.
now, this is what I call objectivity.
am on record on this forum as one of the harshest critics of Klopp at the start of his Anfield tenure kutokana na ile mentality yake ambayo ilionyesha dhahiri alikuwa ame underestimate task kubwa iliyokuwa mbele yake. kelele zilizopigwa kutoka kila kona ndipo tukaanza kuona changes.
Klopp's a top gaffer (one of the best on the planet) - no question about it - but he occasionally screws things up like he recently did with his substitutions vs Everton. all top managers go through such spells, though, but they somehow find their way back in - which is what Klopp should (actually MUST) do.
to be fair to him, he hasn't been that much lucky with his midfield options this season. just tell me.....with a fully fit Ox and a consistently effective Keita - where would the Brexit cartel (Hendo, Lallana, etal) have fitted in the team? only the bench of course!
for me, Keita has been one of the most conspicuous lowlights of the season.... the kid has completely failed to live up to the hype that made LFC splash that massive cash. wayward final ball, sloppy in possession and lack of defensive awareness - I believe these are the major weaknesses that keep him out of the starting XI.
a typical case: with someone else playing in Keita's position recently vs WH United, we wouldn't have conceded that equaliser!
on a bigger picture, our season's course is not lost. yet. there's a chance even for a double (EPL & UCL)... who knows?
our naysayers tend to ridicule us LFC fans that it's our antics (not our team's performances) which are likely to make our team "bottle it". these antics tend to spill unto the pitch, unknowingly. let's not ignore this, let's deal with our emotions head-on!
Indeed.Cant see us paying another £80m for a CB
Good shout though.
agree with you re the price tag - it's not in our Yankees' DNA to splash cash from their balance sheet.price might be th problem..remember our owners are "we sell n buy basis" so to get that talented kid got to sell...selling al th dead woods wont fetch £50+m needed to get this boy...
we need a real striker Like Diego Costa, Aguero calibre...
defence is sorted no longer chippin goals like before...Matip has matured n wt Gomez back we good...hope th academy boys bring in another TAA.
mkuu, i think am going to need a microscope to be able to spot a Keita you are trying to describe here... surely!Keita is only 23, and kutoka Leipzig mpaka LFC ni big step.
Then, Klopp not playing him in his preferred position, ni tatizo jingine pia, for him to settle well anatakiwa kucheza kwenye position na mfumo anaoupendelea zaidi, its not a rocket science.
Firmino settled well baada ya Klopp kuja, Rodgers used to play him as LWB, i mean huwezi ukawa unamchezesha mchezaji nje ya position yake na ukategemea aka-settle mapema, remember when rodgers alivyokuwa anamchezesha Nuri Sahin nje ya eneo lake? Klopp alilalamika kuhusu ili suala kwenye press za Germany, but now he’s doing the same thing kwa Keita.
Suala la kuwa Keita ana-lack defensive awareness ni myth, he’s leading the entire MF (including Fabinho), kwenye upande wa Ku-defend through Pressing, he’s our main presser kwa msimu huu, and he’s only second to Fabinho only winning possession through pressing. And anafanya yote haya akiwa anacheza nje ya eneo lake na kuwa dropped every now and then.
This season tuna-miss uwepo wa OX tu kwenye MF, but tulifanikiwa kusajili two good MFs in the summer, so missing OX isingekuwa big deal kama Klopp angekuwa na consistency kwenye MF, he’s playing 433 with 3 defensive Mids bila kuwa na transitional player hata mmoja, Ox fits directly kwenye 433 but hayupo, so kuna big need ya kucheza 4231 kwasababu kuna wachezaji wana uwezo mkubwa wa kucheza katika hii formation na wako fit (Faby/Gini/Keita/Shaqiri). So saying Klopp amekuwa hana bahati na MF this season ni myth pia, kwenye december fixtures we played with 4231, and won games zote kwenye league with good perfomances. But tumerudi kwenye 433 and we’re struggling to get results especially away from home, and we all know 433 compliment Hendo more and playing 4231 kwa uendelevu will eventually leave Hendo and Milner out, and Klopp hana balls za kuwa-drop Hendo/Milner kwa 2-3 games in a row. he will never win anything with that mentality.
mkuu, i think am going to need a microscope to be able to spot a Keita you are trying to describe here... surely!
problem is the end product, sir...... i cant see it, definitely Klopp cant see it either.
problem is the end product, sir...... i cant see it, definitely Klopp cant see it either.
if you dwell so much on these useless stats, you will find Hendo is probably one of the Europe's best CM in % accurate passing - which only means shiite in terms of end product that we all need and want!
the boy has deficiencies, unfortunately we have to live with this bitter fact for the time being.End product? I mean tutajuaje kuwa Keita ni mzuri kwenye hilo eneo kama hapati nafasi ya kucheza chief, he barely gets game-time, kacheza dk 6 tu tangu ile game ya Bournemouth.
then kama Klopp haoni end product kwa Keita, inatakiwa iwe the same kwa Henderson/Gini/Lallana ambao wamekuwa wakichezeshwa kama number 8/10.
Henderson and Gini wameplay more than 20 games this season, yet their productivity from Midfield to attack is equal to zero, End product ipi hiyo tunayoizungumzia chief? You just need to admit kuwa you and Klopp are wrong about Keita, if ishu ni end product, then we should ask the same questions to Henderson/Gini ambao wanacheza on weekly basis. Keita is better than them at pressing/dribbling etc and they are not better than him kwenye suala la end product.
This is Man city’s Midfield, compare their productivity to ours, and we can discuss more about our MF end-product.
View attachment 1041528