mak89
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 1,072
- 914
kama tutashinda hii mechi basi milner na henderson watakuwepo saaaana ila kama tutafungwa nadhani itakuwa ndo safari yao.
baada ya ile sare na sevilla 3-3 ndiyo klopp akaanza kumtumia Andy Robertson na kumweka bench Moreno.
Baada ya Karius kurudia makosa yale yale kwenye pre-season ndipo Klopp akaingia sokoni kumleta Allison.
Klopp seems to learn in hard way maana kwa kelele za kwenye mitandao hazimsumbui Klopp sawa na mtoto ukimkataza wembeee hasikii mpaka umkate kwanza ndo atasikia kama tutatoka basi our midfield will change completely.
All in all, naomba tushinde mengine tutajua huko mbele ya safari
baada ya ile sare na sevilla 3-3 ndiyo klopp akaanza kumtumia Andy Robertson na kumweka bench Moreno.
Baada ya Karius kurudia makosa yale yale kwenye pre-season ndipo Klopp akaingia sokoni kumleta Allison.
Klopp seems to learn in hard way maana kwa kelele za kwenye mitandao hazimsumbui Klopp sawa na mtoto ukimkataza wembeee hasikii mpaka umkate kwanza ndo atasikia kama tutatoka basi our midfield will change completely.
All in all, naomba tushinde mengine tutajua huko mbele ya safari