Hata mm Ni muumin mzur sana wa falsafa ya klopp kimpira,ila ameniacha hoi kiukweli kumuacha shaqir an keita halfu anamuingiza lallana kwenye gemu inayotaji tushinde...
Binafsi hata kumtoa mane kiukweli sijaona Kama Ni sahihi na nafsi yangu siku zote inaniaminisha mane Ni Bora kuliko Salah kutokana na mchango anaoutoa hapo mbele...
Anyways ndio tushadrw tumeanguka wito wangu kwa wana Liverpool tupukute vumbi kwenye bukta tuendelee na safari...hatuwezi kubadili kilichotokea...
HAWATOAMIN WATACHOKIONA
#YNWA#
Sent using
Jamii Forums mobile app