21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,299
- 2,843
Upepo ni nouma sana umeharibu kila kitu. Na game zinazofuata ndio utavuma zaidi
Hahaaaa, wanakazi kweli kweli
But Klopp has won more HUGS than Pep. I think that is their big difference.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chief..!
Walichokifanya Liverpool kitawagharimu sana..!
Man City alishakuwa kama ni jambazi aliyevalishwa kitanzi tayari kwaajili ya kunyongwa,alikuwa ameshakata tamaa,lakini ghafla anajikuta yupo juu ya farasi na shotgun mkono wa kulia,nadhani unajua nini kitafuata hapo..!
Mimi ninaamini baada ya kupoteza mechi dhidi ya Newcastle wachezaji wa Man City walishakata tamaa kabisa ya kuipita Liverpool,lakini sasa wanaongoza ligi kwa tofauti ya alama moja wakiwa na idadi inayofanana ya mechi zilizobaki..!
Chochote kinaweza kutokea,ila kwa kocha na wachezaji aliokuwa nao City,sisemi kitu ngoja tujionee wenyewe..!
sasa sijui barafu imeisha na upepo nao haupo siku hio..Leicester walitukazia Anfield hapo hapo.
Kuna siku niliwahi kuwaambia hawa, unamsajili Shakir akusaidir nini.? Walinijia juu sana ooh kacheza Bayern, sijui kapita huku na kule. Nikawaambia haya tusubiri tuone atawapa nini.
Bado nasubiri maajabu ya Shaqiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema vyemaXhaqiri ana Impact kubwa Sana uwanjani kuliko Midfielder yoyote kwa Waliocheza Jana.. Lakini kuna Waingereza wenye timu Lallana, Milner, Hendo na Sturridge wamemzuia kupata nafasi, sasa kama hapewi nafasi unategemea nini?
Siku akipewa nafasi basi msaada wake unaonekana kwenye Kuassist na Kufunga
Can you please assist with the link?Kuna makala nimesoma wamesema inasemekana klopp ana mental health concern
Defeat vs Man City - Size of grass
Draw vs Leicester - Snow
Draw vs United - Injury of United players
Draw vs Everton - Windnow to win th title we have to pray Citi to draw or lose at most in th next games remaining...Asalam Wakubwa
Ukitazama kwa upeo wa mbali kwa sababu anazozitoa Klopp baada ya matokeo hasi (suluhu au kupoteza) unapata wasi wasi mkubwa sana kama kweli kuna cha kushinda kutoka kwake.
Kusingizia Upepo? vs klabu kama leicester duh.! Inaogopesha haswa.
Kuwaogopa waingereza kume(ta)mpoza Klopp.Anapaswa kuchukua maamuzi magumu mno.
Wengi tulipatwa na ka mshtuko Milner anasimamishwa Lallana alafu Shaqiri & Keita hawajapasha misuli, Mhh unapatwa na dukuku uzungumze na Shaq ujue kama wanaugomvi na JK.
Anyway binafsi ninasema
LUCKY CAN WIN US THE TITLE
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha useless hugs wen we ending th season empty handed...now we turn to be th ramli guys kumuombea Citi mambaya...But Klopp has won more HUGS than Pep. I think that is their big difference.
Sent using Jamii Forums mobile app
Defeat vs Man City - Size of grass
Draw vs Leicester - Snow
Draw vs United - Injury of United players
Draw vs Everton - Wind