Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

aafu unakuta eti Moreno na Mignolet wanalalamika kutopangwa EPL seriously we can never win anything wt Moreno, Mignolet n.k....

Klopp should be careful now maana amebaki na vikombe viwili tu EPL na UCL hii dharau zake za kijeremani atajikuta wachezaji wote wa maana wanamkimbia maana they are here to win trophies n make history....

Pep was right mature players are more greedy and hungry win trophies.
Sasa kama hao akina Moreno na Mignolet hamuwapi nafasi ya kutosha unategemea watakuwaje fiti?

Huoni Man united wametoa nafasi ya kutosha kwa Rashford, Martial, Lingard...

Tatizo la UBAGUZI wa Klopp utafanya mukose makombe kabisa msimu huu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo hao ni inexistent group ambao hujiita the so called Liverpool Halisi.

Wana Misingi yao wanayosimamia Katia Soccer! Wao hawahitaji Facts katika chochote Bali ni Mihemko tu.

Miongoni mwa rules zao za kuqualify kuwa Liverpool Halisi ni:

1) Front three wetu (Salah, Mane na Firmino) wanaweza kucheza timu yoyote duniani!
Kwahiyo iwapo watakwenda Barcelona wanauhakika kuwa MESSI-SUAREZ-DEMBELE watakosa namba mbele ya Front three wetu.


2) Wanaamini Kuwa Mido yetu ya GINI-HENDO-MILNER ni bora kuliko Mido ya RAKITIC-BUSQ-ARTHUR/VIDAL that is why tukishinda game yoyote kiongozi wao anakuja na mpasho wake kuhusu wachezaji wetu vs wachezaji wa Barcelona.

3) Wanaamini kuwa Salah ni bora Kuliko Hazard

4) Wanaamini kuwa Klopp ni bora kuliko PEP

5) Wanaamini kuwa Hendo ni World Class player anayeweza kucheza timu yoyote hole duniani! Kwahiyo akija Chelsea Kante ajiandae kusota Bench.

6) Kombe tunalotewa Wanaamini ni Kombe la Kipumbavu.

7) Wanaamini Liverpool ina kikosi bora duniani kwasasa kuliko timu yoyote hile.

8) Wanaamini Guardiola anabahatisha tu lakini Hamna kitu.

9) Wanaamini Lovren ni Best Centre Back in the world, Kwahiyo akienda Real basi Ramos ajiandae Kuwarm bench

10) Wanaamini unapomkosoa Klopp manake wewe huipendi timu na hujui chochote kwenye soka.

Sasa ukishakuwa na mitazamo hiyo kwao wanakuona wewe ndiye LIVERPOOL HALISI.
Hahaha cc@Malafyale na wenzake ni Liverpool HALISI bwana..

Nyie Liverpool UCHWARA kazi kubwa ni kumkosoa Klopp ..wakati ni kocha "BORA" kabisa duniani kwa kizazi cha sasa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama hao akina Moreno na Mignolet hamuwapi nafasi ya kutosha unategemea watakuwaje fiti?

Huoni Man united wametoa nafasi ya kutosha kwa Rashford, Martial, Lingard...

Tatizo la UBAGUZI wa Klopp utafanya mukose makombe kabisa msimu huu..

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe ni Mshabiki wa Chelsea! Hivi kuna Muda Zaidi wa Kumpa Cahil, Moses na Morata ili wawe World Class?

Hivi mtu aliyecheza Liverpool (Moreno na Mignolet) kwa Mismu Mitatu au Minne mfululizo na hakuboreka unasema hajapewa nafasi?

Robertson kama Mwaka Jana, Alisson kaja mwaka huu! Hiyo miaka yote iliyopita tokea wasajiliwe walikuwa wakicheza wao na hawakuboreka! Then unasema hawapewi nafasi?
Nafasi gani labda unayotaka wapewe? Ya ukocha au?
 
Hahaha cc@Malafyale na wenzake ni Liverpool HALISI bwana..

Nyie Liverpool UCHWARA kazi kubwa ni kumkosoa Klopp ..wakati ni kocha "BORA" kabisa duniani kwa kizazi cha sasa...

Sent using Jamii Forums mobile app

Ha ha ha ha 😀😀

Mwisho wa Msimu tukitoka Kapa ninakujua fika hapa Madongo utakayokuja kutupiga nayo....

Nakumbuka mulivyokuwa mukimwita Klopp mwanzo wa huu msimu.

Si mulimwita Mr. Zero trophy? Au mumeshasahau?
 
Bakayoko is a better footballer than Naby Keita. Discuss

Tuache ushabiki wa kinafki wewe Jasho La Kuku

Nasikia huyo Bakayoko mlivyokmuwa wa ajabu ni timu mbili tu zilizokuwa zinamuwania ; yaani nyinyi Chelsea na mzee Wenger(ahahahahahhaah yaani Conte na mwenzie Wenger ahahahahahahah)

Nakupa home work kafukue Keita aliwaniwa na timu ngapi

Keita alikataa Barca we unaleta fikra kuwa Bakayoko anamzidi Keita
 
Iwapo kila Msimu tukichungulia tu Carabao na FA haws Kina Cutes Jones, Camacho, Ki-Jana, Wilson, Grujic wapate uzoefu wa kucheza Seneor team wapi??

Kwasababu hawa huwezi ukawatumia directly kwenye Champion League isipokuwa unawachanganya na FXI ili kupaya uzoefu.
 
Tuache ushabiki wa kinafki wewe Jasho La Kuku

Nasikia huyo Bakayoko mlivyokmuwa wa ajabu ni timu mbili tu zilizokuwa zinamuwania ; yaani nyinyi Chelsea na mzee Wenger(ahahahahahhaah yaani Conte na mwenzie Wenger ahahahahahahah)

Nakupa home work kafukue Keita aliwaniwa na timu ngapi

Keita alikataa Barca we unaleta fikra kuwa Bakayoko anamzidi Keita
Keita alijua Barca asingepata namba,
 
Mambo mawili niliyoyaona Jana!

Fabinho kwenye Centre back ni 100000 times better than Lovren

Ki-Jana ni mtaji mzuri wa baade ingawa kwasasa ni mdogo kumchezesha CB moja kwa moja tutakuja kumuumizisha.

No more Chance kwa Moreno

No more chance kwa Mignolet

Sturridge career is Over

Keita is inconsistent

No Liverpool B, only Team A

Xhaqir has more impact anapokuwa supersub, kuliko anapokuwa kwenye starting Line-up.

Milner ni backup player kwenye Midfield na si kwenye Defence.
Vs Red start Milner made kind of the same mistake jana na both resulted to goals...

kwa ninavyoona kwa sasa Milner acheze RB tu period mambo ya Midfield miguu imechoka n pia mkataba wake ukiisha mwishoni wamwachie akwede Leeds...

Keita who is wearing iconic namba 8 jersey is finding t hard kupata rythym yupo yupo tu kwa kweli..

am a bit worried 1st eleven wetu wakipata majeraha hawa Liverpool B watatwangusha mazima....

Fabi is class Mr many position, what a shrewd buy by th club.

kwa kweli guys am a bit worried where we are heading maana jana was so so so bad coming from us n we were told this season is us to win trophies...

Priority now should be EPL only.
 
Sasa kama hao akina Moreno na Mignolet hamuwapi nafasi ya kutosha unategemea watakuwaje fiti?

Huoni Man united wametoa nafasi ya kutosha kwa Rashford, Martial, Lingard...

Tatizo la UBAGUZI wa Klopp utafanya mukose makombe kabisa msimu huu..

Sent using Jamii Forums mobile app
nafasi Mkuu ndio hizi kama jana na ni timu zote hawa wachezaji akiba hupewa game time kwenye haya makombe mbuzi...

hata Les Blu Cahil n.k kwenye ligi EPL ni kama hawapo vile....

Klopp angechanganya 1st 11 na 2n 11 kwa ratio nzuri kila idara mbona tungetoka na ushindi...kwa mfano mbele Mane, Origi, Daniel n.k

kwa timu kama Wolves ambao wantumia kaunta vizuri lazima midfield kuwa na maestro Mr Gini...

sasa Klopp being Klopp ndio hivyo tena na rekodi kwenye makombe na ligi si nzuri sana kwake Januari na pia away form inaleta mashaka sana maana hata UCL ilikua hivi hivi.
 
We have trent,gomez,fabinho,milner na camacho/hoever. Hao wote wanacheza namba mbili

Sent using Jamii Forums mobile app
having them is one thing but delivering wins wen given th chance is another thing...

Clyne being snr n used to play in EPL has an upper hand ova Camacho, Ki-jana...thus in this period he might have been of help like jana....

as long as Gomez recovers in tym we aint in crisis..in th meantym Trent n Milner wil do th job well now wt Lovren injured inakua a bit complicated pale nyuma
 
IMG_4879.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Michezaji yenyewe tu ni mizembe haifai kuichezea liverpool kocha kayaona yanfaa kwenye mazoez kayaamini lakin yamemwangusha.
Mkuu uzembe wa mchezaji unaweza sababishwa na kocha mwenyewe mfano mzuri nyie.

Origi amecheza dakika 5 tu katika mechi 20 za ligi hivi mtu kama huyu anamatuamini gani na tim?

Nlicho kiona kwa Sturrege siamini kabisa kama kile ni kiwango chake bali aliamua tu achezw ajisikiavyo.

Tukisema hatuna wachezaji bado sio jibu maana pre sison tuliwaona walivyo kuwa wachangamfu na tukashinda mechi kadhaa.
Wachezaji hawawezi kulingana viwango kwenye tim 1 hata mishahara yao ila haimaanishi hawa bechi hawafai kabisa bali nikupewa moyo ili waongeze juhudi
Tumeona Asenal akishinda na wachezaji wa bench

Kloop anamatatizo kwa wachezaji tusubilini tu yatakuja tokea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom