Rosh Hashannah
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 3,415
- 2,043
Michezaji yenyewe tu ni mizembe haifai kuichezea liverpool kocha kayaona yanfaa kwenye mazoez kayaamini lakin yamemwangusha.Sasa wewe unataka tumlaumu nani zaidi ya kocha? Kufungwa na Red Star ilikuwa ni upumbavu wa kocha, same as today dhidi ya Wolves. Hata siku ya Man City.
Graph inaanza kushukaMichezaji yenyewe tu ni mizembe haifai kuichezea liverpool kocha kayaona yanfaa kwenye mazoez kayaamini lakin yamemwangusha.
Hahahahaha Liverpool HALISI bwanaMakombe haya ya KIPUUZI yangechosha tu wachezaji!Mwaka huu ni EPL au CL period sio sijui upuuzi wa FA na Carabao
Klopp anaenda na EPL na CL.Period
Sent from my iPhone using JamiiForums
ngoja ukipoteza game epl au ucl sijui utaomba la liga au vpl ndio dio ya kipumbavuMakombe haya ya KIPUUZI yangechosha tu wachezaji!Mwaka huu ni EPL au CL period sio sijui upuuzi wa FA na Carabao
Klopp anaenda na EPL na CL.Period
Sent from my iPhone using JamiiForums
ngoja ukipoteza game epl au ucl sijui utaomba la liga au vpl ndio dio ya kipumbavu
Juzi Man City kashinda saba. Angalia kikosi alichopanga wakati anakupiga mbili na kikosi alichopanga wakati anashinda goli saba.Timu haina Depth ya kutosha still bado Manager anatoa watu kwa mkopo kirahisi rahisi tu Klopp hana Ambition na Trophy na hili litajulikana muda sio mrefu
Sio Klopp tu, makocha wengi na timu nyingi kwenda na pressure ya mashindano mengi kwa wakati mmoja. Mfano timu zinazochukua makombe mawili au matatu kwa wakati mmoja ni chache na ikitokea hivyo ni sherehe ya kukata na shoka na sifa lukuki kwa kocha. Kocha ni lazima aamue kuweka msisitizo upande mmoja. Hasa EPL na CL huwezi kwenda nazo kwa pamoja halafu ukapona, no way!Kwangu haya matokeo ni favorable sana, Liverpool hatuna Benchi kabisa, tunategemea First XI tu. Kadri haya mashindano yanavyosonga mbele ndivyo yatakavyokuwa magumu wakati huo huo CL itakuwa imepick. Kwa hiyo kupunguza Fatigue na Injuries, ni bora tubaki EPL na CL (ambayo nayo tutaondoka muda tu).
Another one big thing nimenote for sometimes, Klopp is not good at multitasking, mwaka jana tulijaribu kwenda na EPL na CL pamoja, almost tukose top 4 kwa sababu ya kubase zaidi CL. Mwaka huu wote tumeona jinsi almost tusisonge 16 kwa sababu ya kubase EPL zaidi na kuweka vikosi vya ajabu CL.
Hii EPL akiikosa mwaka huu atakuwa na wakati mgumu sana kwa critics, na kwa career yake tena, akiikosa mwaka huu hataweza tena kutupa EPL.
Man city katia first elevenJuzi Man City kashinda saba. Angalia kikosi alichopanga wakati anakupiga mbili na kikosi alichopanga wakati anashinda goli saba.
Hahahahahahahahaha wakati ninyi munaita sijui Mickey nini.... wenzenu wana njaa kama fisi jike aliyetoka kujifungua.
Muna miaka sijui mingap uko hata hayo "makombe ya mbuzi" hamjabeba halafu mumekaa na kuita ni "Mickey mouse cup" hahahahahahaha
Mukikosa na EPL pia mutaita ni Mickey mouse cup????
Sent using Jamii Forums mobile app
Guys bandu bandu humaliza gogo la asali
Tulianza kutolewa carabao
imefuata Fa
tunasingizia makombe madogo..
the last time kushinda hata kikombe tuitacho havina maana ni miaka saba iliyopita.
Mwendo mdgo mdgo.. tutajikuta tusipotarajia soon kwa sababu za huyu kocha ambaye wengine husema WORLD class ambaye analinganishwa na Pep.
Kwa mafanikio ya sasa hata kumfananisha klopp na Emery bado Emery ana Europa tatu klopp only two three finals.
YNWA...
Bandu bandu humaliza gogo la asali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Klopp tu, makocha wengi na timu nyingi kwenda na pressure ya mashindano mengi kwa wakati mmoja. Mfano timu zinazochukua makombe mawili au matatu kwa wakati mmoja ni chache na ikitokea hivyo ni sherehe ya kukata na shoka na sifa lukuki kwa kocha. Kocha ni lazima aamue kuweka msisitizo upande mmoja. Hasa EPL na CL huwezi kwenda nazo kwa pamoja halafu ukapona, no way!
kwa hichi kikosi tulicho nacho msimu huu, haya ndiyo mashindano ambayo binafsi nina uhakika 100% ndoo tungebeba.Mimi nimemtukana Klopp kimoyomoyo tusi baya sana aisee!
Anajua kabisa Wolves ni wagumu halafu wapo kwao, then anakuja na line up ya dizaini hii kweli???
vice versa is trueMkuu umekosea! Klopp halinganishwi na PEP ! Bali Klopp anaitwa ni bora zaidi ya PEP ... Na tunaposhinda game hapa wanaandika kuwa Klopp ni Kocha bora zaidi duniani...
Kwahiyo hao kina kina PEP, Zidane, LVG, Mourinho, Emery wote ni watoto wadogo tu ambao hawana mafanikio aliyoyawahi kuyapata Klopp.