Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Kushinda game hakumfanyi garasa awe Messi.
Hata hivyo mbona nakubali kuwa Lovren ni Man of the Match Jana.
Kaupiga mwingi tu Mkuu mpaka kamficha Aguero hakufurukuta
Ili lihesabike kuwa goli, mpira ulipaswa kuvuka woteKwa dhati ya moyo huyu beki wa city aliiwahi technology vitu vyenyewe vya kutengenezwa na mwanadamu.View attachment 985289
Huwa tunasema GINI-HENDO-MILNER hawawezi hata squad player wa Barcelona.
Na Salah-Firmono-Mane hawawezi kupata namba kwa Barcelona
Basi kuna mshabiki bora kila baada ya Mechi ttunayoshinda anakuja na comment ya Mipasho hapa kupinga kauli yetu hiyo.
Points zake hi hizi:
- Front three wetu Salah-Firmino-Mane wanacheza panga pangua Barcelona kwa kuwaweka bench Messi-Suarez-Dembele.
Kwahiyo anaamini kuwa Wachezaji wetu ni Bora kuliko Kikosi kizima cha Barcelona.
- Midgielders wetu Gini-Hendo-Milner wanacheza panga pangua Barcelona kwa kuwaweka Bench Busquet-Vidal-Arthur.
Huku akisahau kuwa aliyekuwa Mchezaji wetu bora COUTINHO basi kwenye kikosi cha Barcelona ni Mchezaji wa Sub.
Sasa mtu kama huyu anatwambia hatujui mpira.
"ila klopp kayataka mwenyewe tuu,sijui huyu mduu hendo anampendea nini aisee yani hata kwenye mechi kubwa anashindwa kujiposition na hata kuhamasisha wachezaji wenzake"hii point yako nimeipenda sana yani hendo hafai hata kuwa captain wa second eleven kwenye timu za championship league
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu its always start like thatki ukweli mechi nyingi anazopotezaga Klopp tangu ahamie Majogoo ni Jan n Feb yaaani hapa ndio kutulia sana historia hii isijirudie msimu huu, gepu hii inabidi kui maintain maana huyu City atapigika tena na hata sisi tukicheza kama jana vipigo vinatuhusu...
jana was really pathetic.
Wakati huo gooners inashikilia nafasi ya ngapi???Hapa utasikia mara FA wametolewa, mara wamesare ,mara city huyu hapa anawapumulia, mara wanaingia kugombea top 4 badala ya ubingwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari nyingi huwa zinaanza na tetesi ndio maana sijaona habari za fekir katika web ya Liverpool.Tulimfatilia msimu gani? labda tuanzie hapo.
Mara ya mwisho kumfatilia ilikuwa ni 2017 lakini Dortmund walisema hauzwi lakini Klopp hakueka dau lolote.
Baada ya hapo ikaishia kuwa tetesi tu
Lakini kama una evidence yoyte kuwa Klopp alitoa dau lolote kwa Dortmund likakataliwa basi lete hapa!
Usiniambie kuwa The mirror wameandika, au Bild wameandika, au kuna mtu twitter kaandika! Liverpool haiendeshwi na Magazeti wala twittwer.
Tunayo official website yetu, tunalo gazeti (Echo) linalotumiwa na Liverpool, pia tunayo TV official inayotumiwa na Liverpool.
Tafuta humo habari kuwa Klopp aliweka hata elfu kumi kuwa anamtaka Pulisic zikakataliwa.
Tetesi hazihukumu kuwa timu imemtaka mchezaji.
Inamana kwakuwa sasahivi Magazeti yanasambaza tetesi kuwa Liverpool inamtaka Timo Werner je akienda timu nyengine utasema Klopp kamtaka Werner akamkosa?
Mumeongeza -3 mkuu tumeona.Msiwe na shaka hata chembe point azipungui leo hata kdg tunaongeza km sio moja basi zote3 WE ARE STAND WITH RED
Sent using Jamii Forums mobile app
Matokeo ngapi ngapi mkuu?Hii bikra itoke mara ngapi so aseno alishaitoa kwa kutufunga 5-1
Sawa mkuuunafahamu vyema Majogoo sio timu ya kubabaishwa na City, hawa leo tunao...
Pep presha juu maana kila akitazama weak link ya Liverpool haioni hivyo itamlazimu ashambulie zaidi kipindi cha kwanza na hapo ndio pace ya Mane na Salah itawaumbua maana wao wanawaza kupunguza gepu angalau ibaki pointi 4, hivyo wao watakua ni ushindi tu maana hata kupaki toi Pep hajui yeye ni kushambulia , upande wa pili sisi ni kaunta tu wala hatuna kingine...
wapiga ramli msikae mbali kushuhudia gepu ya pointi 10 mapema Januari...
YNWA
Na ndio aliyekuwa flopp of the matchJaman mnaona moto wa TAA? Hakosi kwenye kikosi chochote tangia nianze kufatilia hivi line up.
Sawasawa mkuu ngapingapi huko?Huu uzi leo umekuwa wa moto sana kwa haters wanauchungulia kwa mbalii
Tumeona ubora wake kwa kufungishwa matela na sane Jana mpaka nilikaonea huruma
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hawezi kuwa bora hata hapo Liverpool mkuu, huyu alicheza kwa kiwango kizuri sana msimu uliopita ila kwa sasa dogo katumika sana amechoka Jana ndio alikuwa chochoro na hili linaenda kumkuta na Robertson maana anatumika sana,kwa sasa Trent huwez mfananisha na clyne hapo liver so usimuoverrate kihivyo dogo kafulia hana tofaut na berellin wangu....Kwasasa TAA si bora Liverpool tu! Bali ni Best Right Back EPL nzima!
Anaebisha na Abishe Mimi ziwezi kunishana nae.