Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huu ni mtazamo uliokuwa nao ww kiongozi but mtizamo huu hauwezi kuwa halisi hata siku moja, maana huwezi niambia ya kwamba tunaanza msimu Gomez akiwa chaguo la kwanza, ukweli ni kwamba Gomez anapata fursa ya kuanza baada ya Lovren kuwa majeruhi, kilichotokea ni kwamba alimudu vzr tu kucheza tukazoea na kumuamini

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa mkuu akiimudu nafasi sindiyo anakuwa chaguo la kwanza au? Refer case ya Moreno na Robertson...je utasema Moreno bado ni chuguo la kwanza?
Au kipindi kile Mignolet na Karius?
It is the same thing with Lovren and Gomez, dogo akipona Lovren anarudi bench.
 
Wachezaji ni:

Alison
Matip
VVD
Gomez
TAA
Robbo
Fabinho
Gini
Keita
Milner
Xhaqiri
Mane
Salah
Firmino


Na bench kuna

Clyne
Sturridge
Moreno


Waliobakia wote ni Magarasa tu yakutafuta njia yakaenda:
Magarasa hayo ni:

Mignolet
Hendo
Lovren
Lallana
Origi
Solanke
Markovic
Moreno binafsi naona aunge tela la akina Hendo
 
IMG_20190101_170930_151.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwavile hii ni future siwezi Kulijadili hili! Ngoja ifike hiyo Siku Nitakutag hapa kukuonesha Line-up.

Ila tu Milner mtoe hapo kwenye Kumlalamikia Kucheza kwani Hakuna anaemlalamikia Milner kucheza.

Tuna choral familia Kucheza Combi ya Mido ya GINI-HENDO-MILNER.

Ila kucheza GINI-FABI-HENDO, GINI-FABI-MILNER, GINI-HENDO-KEITA, GINI-FABI-KEITA huwa hatuilalamikii sana!

Ila ukitupangia GINI-HENDO-MILNER hapo hatukubaliani.

Na ukumbuke kuwa haohao unaosema ni Wachezaji wa Must Win ndiyo waliocheza CL wakatufungisha kwa vibonde Red Star na kwa Napoli first leg.

Sasa sijui point yako ni ipi?

Hivi kuna mtu haelewi hii hoja? Mbona rahis tu, hatutaki combo ya GINI-HENDO-MILNER sababu ni butu haina matokeo positive.

Combo hii ndo iliyopelekea mwanzon mpaka Salah aitwe One season wonder, bila mabadiliko kutokea ya kuongeza Fabh, Keita na udambwi wa Shaqir. Leo Salah asingefikisha hizo goals 13 z EPL mwaka huu.

Kwa sasa Team yetu ni yamoto sana kwa sababu Klopp aliusoma mchezo na kufanya mabadiliko, hivyo hatuna shaka tunapoona Kwenye combo hiyo Fabhino or Keita hawakosi, sababu hawa ndio chachu ya ushindi wetu.
 
Kwavile hii ni future siwezi Kulijadili hili! Ngoja ifike hiyo Siku Nitakutag hapa kukuonesha Line-up.

Ila tu Milner mtoe hapo kwenye Kumlalamikia Kucheza kwani Hakuna anaemlalamikia Milner kucheza.

Tuna choral familia Kucheza Combi ya Mido ya GINI-HENDO-MILNER.

Ila kucheza GINI-FABI-HENDO, GINI-FABI-MILNER, GINI-HENDO-KEITA, GINI-FABI-KEITA huwa hatuilalamikii sana!

Ila ukitupangia GINI-HENDO-MILNER hapo hatukubaliani.

Na ukumbuke kuwa haohao unaosema ni Wachezaji wa Must Win ndiyo waliocheza CL wakatufungisha kwa vibonde Red Star na kwa Napoli first leg.

Sasa sijui point yako ni ipi?

Hivi kuna mtu haelewi hii hoja? Mbona rahis tu, hatutaki combo ya GINI-HENDO-MILNER sababu ni butu haina matokeo positive.

Combo hii ndo iliyopelekea mwanzon mpaka Salah aitwe One season wonder, bila mabadiliko kutokea ya kuongeza Fabh, Keita na udambwi wa Shaqir. Leo Salah asingefikisha hizo goals 13 z EPL mwaka huu.

Kwa sasa Team yetu ni yamoto sana kwa sababu Klopp aliusoma mchezo na kufanya mabadiliko, hivyo hatuna shaka tunapoona Kwenye combo hiyo Fabhino or Keita hawakosi, sababu hawa ndio chachu ya ushindi wetu.
 
Kwavile hii ni future siwezi Kulijadili hili! Ngoja ifike hiyo Siku Nitakutag hapa kukuonesha Line-up.

Ila tu Milner mtoe hapo kwenye Kumlalamikia Kucheza kwani Hakuna anaemlalamikia Milner kucheza.

Tuna choral familia Kucheza Combi ya Mido ya GINI-HENDO-MILNER.

Ila kucheza GINI-FABI-HENDO, GINI-FABI-MILNER, GINI-HENDO-KEITA, GINI-FABI-KEITA huwa hatuilalamikii sana!

Ila ukitupangia GINI-HENDO-MILNER hapo hatukubaliani.

Na ukumbuke kuwa haohao unaosema ni Wachezaji wa Must Win ndiyo waliocheza CL wakatufungisha kwa vibonde Red Star na kwa Napoli first leg.

Sasa sijui point yako ni ipi?

Hivi kuna mtu haelewi hii hoja? Mbona rahis tu, hatutaki combo ya GINI-HENDO-MILNER sababu ni butu haina matokeo positive.

Combo hii ndo iliyopelekea mwanzon mpaka Salah aitwe One season wonder, bila mabadiliko kutokea ya kuongeza Fabh, Keita na udambwi wa Shaqir. Leo Salah asingefikisha hizo goals 13 z EPL mwaka huu.

Kwa sasa Team yetu ni yamoto sana kwa sababu Klopp aliusoma mchezo na kufanya mabadiliko, hivyo hatuna shaka tunapoona Kwenye combo hiyo Fabhino or Keita hawakosi, sababu hawa ndio chachu ya ushindi wetu.
 
Hivi kuna mtu haelewi hii hoja? Mbona rahis tu, hatutaki combo ya GINI-HENDO-MILNER sababu ni butu haina matokeo positive.

Combo hii ndo iliyopelekea mwanzon mpaka Salah aitwe One season wonder, bila mabadiliko kutokea ya kuongeza Fabh, Keita na udambwi wa Shaqir. Leo Salah asingefikisha hizo goals 13 z EPL mwaka huu.

Kwa sasa Team yetu ni yamoto sana kwa sababu Klopp aliusoma mchezo na kufanya mabadiliko, hivyo hatuna shaka tunapoona Kwenye combo hiyo Fabhino or Keita hawakosi, sababu hawa ndio chachu ya ushindi wetu.

Unajua sifa ya hii misukule isiyojua kitu kwenye mpira huwa haina hoja za kimpira na haikubali kuzichukua hoja za kwenye kujua mpira! Hatimae hupindisha hoja za kwenye kujua mpira.

Kwa mfano:

1) Takriban Washabiki wote Wa Liverpool basi Milner ni Mchezaji tunayempenda Sana kwasababu Ndiye anayeweza Kucover takriban Namba nyingi inapotokea injury kwenye namba hizo! Kwahiyo hatumlalamikii Milner Bali tunacholalamikia ni Kambinesheni ya GINI-HENDO-MILNER ambayo huwa haina matokeo chanya.
Basi hapo unatokea msukule unasema tunamchukia Milner.

2) Na jengine ni Kwamba sasahivi Lovren anacheza na wala hatulalamikii kupangwa kwake!
Basi unatokea Msukule unasema eti tumenyamaza kwakuwa Lovren katuziba midomo kwa kiwango chake bora!!!
Hivi msukule kama huu uusaidieje?
√ Gomez injury
√ Matip injury
Sasa anataka tulalamike ili aje acheze Kevin Yondani au?
Haoni kuwa hapo tumenyamaza kwasababu tu mabeki wote majeruhi kabaki yeye peke Yake? Kwahiyo ni lazima kwasasa turidhie tu kishingo upande acheze yeye mpaka watakapopona kwenye Namba.
Sasa subiri apone GOMEZ na MATIP halafu acheze LOVREN aone kama tutakaa kimya.

Kawaida ya msukule huwa haufahamu kitu.
 
HARRY WILSON
HARRY WILSON
HARRY WILSON
Klopp turudishie huyu kijana ni zaidi ya hatari

Final Decision ya Wilson ipo majira ya Joto (Summer window).

Aidha Atarudishwa Liverpool, au Atauzwa moja kwa moja.
Si rahisi kuendelea kutolewa tena kwa mkopo.
 
Final Decision ya Wilson ipo majira ya Joto (Summer window).

Aidha Atarudishwa Liverpool, au Atauzwa moja kwa moja.
Si rahisi kuendelea kutolewa tena kwa mkopo.

Kama wakimuuza wamuwekee "buy back clause" kwenye mkataba wake. Dogo ana potential...
 
This City game inaweza kubadilisha picha nzima ya title race

if we win, then wont be dreaming anymore but i'll BELIEVE

if we draw, i'll continue to dream

if we lose, then i'll wake myself up from this dream

we need a draw or a win.

my heart and mind reckons, take a draw and run
I'll snap your hand if you give me a draw before the match...... hahaha!
 
Team of the calendar year (Jan - Dec 2018), according to an online BBC Sport poll.
I think Alisson hayumo vile alianza only August.... congrats to our 4 reds.

View attachment 983393

Tumedominate kwenye Backline hii inaonesha ni jinsi gani tuna the most strong defence kwenye EPL

Robertson, VVD na Laporte will retain their places but TAA sidhani kama atarudi tena.

Alisson will replace De Degea

Na kutokuwa na Mtu hata mmoja katika Midfield hii inaonesha wazi ni jinsi gani our Midfielders are shit.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom