AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Jana kafanya mazoezi ila sidhani kama atapangwa labda aanzie benchi
![]()
Nimeona na Keita naye training, nadhan atakuwa amepona.
Jana kafanya mazoezi ila sidhani kama atapangwa labda aanzie benchi
![]()
Team of the calendar year (Jan - Dec 2018), according to an online BBC Sport poll.
I think Alisson hayumo vile alianza only August.... congrats to our 4 reds.
View attachment 983393
View attachment 983786
Mkuu unamjua huyo dogo hapo kwenye picha?
Huyo ni Sancho ambaye ndiye anayemueka Bench Pulisic kwa sasa.
Kwahiyo kwenye Liverpool hawezi kupata Namba Kwenye Kikosi cha Kwanza! Kwahiyo haitowezekana kwa Klopp kumnunua Pulisic kwa £40m ili aje awe Mchezaji wa Hakiba.
Na hiyo ndiyo sababu kubwa Kwa BVB kumuuza huyo Pulisic Kwa Chelsea kutokana na Kukosa namba Kikosi cha kwanza.
Na kumbuka kwamba Liverpool walionesha interest last Windows lakini kwenye Window hii Klopp ameachana naye na kilichokuwa kikiendelea sasa ni Rumours tu wala Klopp hajabide chochote kwa Pulisic kuonesha kuwa hana mpango nae katika Future plan Yake.
Kwahiyo Mkuu ni kuwa Klopp hajamkosa Pulisic, Bali hakuwa katika Mipango Yake kwenye Window hii Coz Klopp kwa sasa Ana plan na attacking Midfielder na si Winger ambapo tuna Mene, Salah na Xhaqiri na Wilson on his way to Sensor team.
Ukweli usiofichika Klopp hana mpango wa Kubide kwa Mchezaji yoyote hii January unless kutokee long injury.
hahaha!Watched the PL wrap y'day baada ya game ya Cardiff Vs Spurs
....and discussion ya COMBINED XI kati ya City na LFC ikaibuka, Phill Neville and Owen Hargreaves, suggested only 3 LFC players kwenye their entire Combined XI
thought it was so unfair Aisee
To put records clear on games that we defeated Man City:-
EPL: 4 - 3 home, Mid had E Can, Ox Chamberlain and Gini.
UEFA CL: 3 - 0 home, Mid had Henderson, Milner and Ox Chamberlain.
UEFA CL: 2 - 1 away, Mid had Ox Chamberlain, Milner and Gini.
With that being clear, you can easily tell that it was Chamberlain's heroics which won us all three games, especially the first two games.
So, for me, that Mid of Gini, Hendo and Milner shouldn't be discussed for tomorrow's game man.
I had go for Fabinho, Gini and Shaqir or Gini, Fabinho and Hendo.
If Milner is fit for tomorrow, will feature for RB.
That is my case.
View attachment 983786
Mkuu unamjua huyo dogo hapo kwenye picha?
Huyo ni Sancho ambaye ndiye anayemueka Bench Pulisic kwa sasa.
Kwahiyo kwenye Liverpool hawezi kupata Namba Kwenye Kikosi cha Kwanza! Kwahiyo haitowezekana kwa Klopp kumnunua Pulisic kwa £40m ili aje awe Mchezaji wa Hakiba.
Na hiyo ndiyo sababu kubwa Kwa BVB kumuuza huyo Pulisic Kwa Chelsea kutokana na Kukosa namba Kikosi cha kwanza.
Na kumbuka kwamba Liverpool walionesha interest last Windows lakini kwenye Window hii Klopp ameachana naye na kilichokuwa kikiendelea sasa ni Rumours tu wala Klopp hajabide chochote kwa Pulisic kuonesha kuwa hana mpango nae katika Future plan Yake.
Kwahiyo Mkuu ni kuwa Klopp hajamkosa Pulisic, Bali hakuwa katika Mipango Yake kwenye Window hii Coz Klopp kwa sasa Ana plan na attacking Midfielder na si Winger ambapo tuna Mene, Salah na Xhaqiri na Wilson on his way to Sensor team.
Ukweli usiofichika Klopp hana mpango wa Kubide kwa Mchezaji yoyote hii January unless kutokee long injury.
Magazeti yanasema Liverpool walimtaka Pulisic, je wewe nini source ya taarifa zako kwamba Liver haikumwitaji Pulisic? Au tukuamini kwa kuwa wewe ni insider wa Liverpool?Pulisic hakuikataa Liverpool bali alikuwa akiitaka Liverpool isipokuwa Dortmund wenyewe last 2 seasons ndiyo waliokataa kutuuzia.
Dirisha Hili Klopp Hakuwa na Mpango wa Kumnunua na ndiyomana Chelsea hakuwa na Mpinzani.
Ni Magezeti tu ndiyo yaliyokuwa yakiendesha Rumours lakini Liverpool haijatoa Bide yoyote hii January ikakataliwa.
hahaha!
but you know what? personally I wd have been happy with 0 (yes, you heard me right...ZERO) representative in the combined squad.
why, only one explanation - that we're top of the pile with "shit" players but playing as a cohesive unit. such teams can last some dynasty I tell you.
it probably explains why we don't have a single rep from the middle of the park despite the fact that we have the most effective (albeit least colourful) midfield in the league. pale kati kuna wachapa kazi tu hakuna kuremba!!
Magazeti yanasema Liverpool walimtaka Pulisic, je wewe nini source ya taarifa zako kwamba Liver haikumwitaji Pulisic? Au tukuamini kwa kuwa wewe ni insider wa Liverpool?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe Mkuu Klopp hawezi kuanzia na Midfielder ya Fabinho, Gini ,na Shaqiri Etihad Unapocheza City lazima Energy ya timu ianzie kwenye Midfield na Milner, Henderson Gini watahusika kesho.Man, midfield of Fabinho-Gini-Shaqiri at Etihad ni suicidal
no question, kuwa kama Milner angekuwa/atakuwa fit enough Klopp anaweza akaanza na our "trade-mark" negative midfield (Gini-Hendo-Milner) ili kuweka a Mid-block at the back.
but kama Milner hatakuwa fit enough, Klopp will go with Fabinho-Henderson-Gini (2-1 shape midfield in a 4231 or 3-base midfield in a 433)
Nakubaliana na wewe Mkuu Klopp hawezi kuanzia na Midfielder ya Fabinho, Gini ,na Shaqiri Etihad Unapocheza City lazima Energy ya timu ianzie kwenye Midfield na Milner, Henderson Gini watahusika kesho.
Magazeti yanasema Liverpool walimtaka Pulisic, je wewe nini source ya taarifa zako kwamba Liver haikumwitaji Pulisic? Au tukuamini kwa kuwa wewe ni insider wa Liverpool?
Sent using Jamii Forums mobile app
Magazeti yanasema Liverpool walimtaka Pulisic, je wewe nini source ya taarifa zako kwamba Liver haikumwitaji Pulisic? Au tukuamini kwa kuwa wewe ni insider wa Liverpool?
Sent using Jamii Forums mobile app
you're dead right, man.If Klopp really wanted Pulisic, he'd be a liverpool player by now
Lkn mkuu, klopp alimuhitaji huyu kijana ila hakuwa serious kama chelsea ambao wanahitaji replacement ya hazardMagezeti sio source ya habari za Liverpool.
Source ya habari za Liverpool Liverpool Echo, www.liverpool.com , na Repoter kama Mellisa Redy. Na Hivi ndiyo sources za habari zangu za taarifa za Liverpool.
Sasa hao ndiyo wakuripoti kuwa Liverpool imeweka dau la kumtaka Pulisic hii January lakini Hakuna sehemu waliyoripoti habari hiyo.
Sasa wewe endelea kuchukua habari za Magezeti ya The Mirror na Bild kuwa Klopp kamtaka Pulisic.
Lkn mkuu, klopp alimuhitaji huyu kijana ila hakuwa serious kama chelsea ambao wanahitaji replacement ya hazard
Ni ukweli kabisa klopp alimtaka huyu kijana , View attachment 983996
Sent using Jamii Forums mobile app
you're dead right, man.
Klopp always goes for "needs" not "wants" like what Josephine Maurine did at Manure when buying Sanchez. he just wanted to piss Pep off, that's all. Klopp wouldn't do such crap even if he had all the money on the planet.

