Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Rabbiot kasema Spurs SIO LEVEL yake,miaka ya nyuma kabla ya Klopp wachezaji kama Willian na huyu Shaqir walisema Liverpool sio leve yao!
Akianza kutukanwa Klopp huwa najiuliza mengi sana na kuwaza ina maana watu wameisha sahau jinsi tulivyokuwa trash hadi wachezaji wazuri wana tukataa?
I will Never disrespect the genius Klopp
Sent from my iPhone using JamiiForums

