Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liver siku mtakapoamua kutumia 4-2-3-1 mtatisha sana, nimeangalia game zenu ,mlizocheza huu mfumo mlikuwa moto, ila gafla mnarud 4-3-3

Chezen 4-2-3-1 kwenye watatu weka salah shaqir na mane
 
tungeweza kudiscuss kuhusu blunders za Lallana na Gini kwenye magoal ya Red star, but kuna top red atasema ni agenda kwasababu nina "chuki"

some "football experts" on this platform are so laughable.
 
Mkuu Malafyale jitahidi Kumtetea Kocha Wako lakini naamini ikosiku utajua Kuwa Klopp anakuja Vingunguti Kuvuta Bangi.

Na ipo Siku utakiri Hapa kuwa Klopp anapanga timu kuwaridhisha Waingereza..
Lallana? Milner? Sturridge?

Na ipo Siku utakiri kuwa chini ya Klopp haitatokezea kushinda Chochote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom