Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

loserfool habebi kombe lolote msimu huu niamin.kwanza timu yenyewe sio pana kikosi kinachotegemewa ni kimoja tu hao walio nje huko ni ushuzi mtupu..................salah huyu sio yule wa msimu uliopita amedrop kidogo ,,,,hivyohivyo kwa mane na filminokagere...............hao walio nje ndio wale miguu ya glasi lalana,sturridge,moreno nk hao kina shaqiri na fabinho ni fropper yani hii ligi ikifika katikati ndio mtaelewa nini nazungumza
Unakariri mambo tu!
Mabeki wa pembani:Clyne,TIA,Robo,Moreno
Mabeki wa kati:Matip,Lovren,Gomez,VVD
Viungo:Wilj,Milner,Fabihno,Keita,Hendo,Lallana
Mbele ndiyo wala sitaji akina Dan akina Shaqir na watatu regular!
Kikosi kipana kama hiki kinacho weza kuwa na team mbili kali na bado wachezaji wakabaki kinaitwa eti sio kikosi kipana!Maajabu haya kwa kweli
Liverpool tupo OK sana na tusubiri May
 
Nakushauri ondoka hapa, hapakufai
Nakushauri hamia kwa team ambayo umeambiwa na watabiri kama ndiyo itachukua kombe!
Nani anampendelea muingereza hastahili kucheza?
Liverpool hii inachukua kombe tena sio FA
Ni Liverpool bora kabisa kupatwa kukusanywa na kocha yyt yule ktk modern football era
Team inafanya vyema bado mnaongea madudu tu!
Nani hajamfunga Soton?City kamfunga nani ambaye Liverpool hajamfunga?
Uchambuzi mbuzi kabisa

Kwenye Comment yangu nilitanguliza mwanzo kuwa hii hali ya kumaliza Msimu mikono Mitupu nimeshaizoea kwahiyo sijaona maana halisi yakuniambia niondoke.

Siwezi kubishana na wewe lakini Tukutane May unioneshe EPL na CL.

My Note: Nilitanguliza Kusema iwapo Klopp hatobadilika na Kuendelea Kuwaogopa Waingereza! Ikiwa atabadilika na Kujiamini Kama Kocha basi sina shaka na Mataji.
 
Kuna wachambuzi wa ajabu sana aisee
Eti hadi ana swear!
Ni kawaida team moja kuongeza points na ingne kupunguzwa points kutokana na team unayo cheza nayo week husika
Mfano week ijayo,Man City vs Man U
Liverpool atacheza na Fulham
Hapo ni wazi kabisa Liverpool ataongeza points wkt Man City na Man U wanapunguzana wao kwa wao
Jana Arsenal vs Liverpool tumepunguzana lkn Man City kacheza na trash Soton kashinda
Liverpool atacheza na Newcastle siku ambayo Man City na Chelsea watapunguzana
Mtu hayajui haya anaongea sijui madudu gani
Liverpool tupo sawa sana,sijapata ona Liverpool bora kama hii
Thank you Klopp,thank you very much

Tatizo lako unajipumbaza na kujibu tusichokizungumza..

Hapa hatuzungumzii Liverpool kudrop points kwa Arsenal kwani Hilo nimeshalizungumza zamani kuwa si matokeo mabaya kwetu kupata Points za ugenini...

Mimi Nilichokiona Kuwa Ni tatizo Kwanini timu ilipoonesha kuwa inaanza kuadapt na Mfumo (4-2-3-1) ambao umeonesha mafanikio kwenye Mechi 2 zilizopoita hatimae ameamua Kuubadilisha ghafla?

Hivi Ni Kweli Xhaqiri hakupaswa kuanza ahead of Milner Kwenye game ya Juzi?

then kama hawaogopi Waingereza kwanini alimpanga Milner mbele ya Xhaqri ambaye asipotoka na goli basi atatoka na assist?

Sarri anavyojiamini kuna game anachezesha Timu bila ya Muengereza Hata mmoja Coz anachoangalia Ni Mafanikio na Kuwaridhisha Watu Wa London
 
loserfool habebi kombe lolote msimu huu niamin.kwanza timu yenyewe sio pana kikosi kinachotegemewa ni kimoja tu hao walio nje huko ni ushuzi mtupu..................salah huyu sio yule wa msimu uliopita amedrop kidogo ,,,,hivyohivyo kwa mane na filminokagere...............hao walio nje ndio wale miguu ya glasi lalana,sturridge,moreno nk hao kina shaqiri na fabinho ni fropper yani hii ligi ikifika katikati ndio mtaelewa nini nazungumza

Arsenal Akimaliza Juu Ya Liverpool Nakuhakikishia Nahama JF na Nahama Mjini Ninarudi Kwetu Kijijini na Kuachana na Mpira
 
Inaitwa Chelsea sio shit
Unaona wivu kwa vile tumekushusha Mpaka ya tatu

Kwahiyo Hamuna mpango Wa Kushindana na Man City anaeoongoza Ligi Bali Munashindana na Liverpool kwenye Nafasi ya Pili au?

Mimi siwezi kukuonea Wivu kwa Nafasi ya 2 kwani Kwenye Ligi Nafasi Muhimu Ni ya Kwanza tu.

Sisi tumekaa nafasi ya Pili kwa Wiki kadhaa na wala Hatukuwahi kufurahia nafasi ya Pili bali tuliwaza Ni lini tutakaa juu ya Man City.

Lakini wewe kukaa Nafasi ya Pili kwa Siku 3 tu unaanza kujisifu.

Subiri baada ya Wiki mbili ikisha ulete Mrejesho utakuwa Nafasi yangapi!!!
 
Mimi Ninachoamini Klopp akijiamini Katika Upangaji Kikosi (((Sizungumzii Ufundi Kwani Najua Klopp Ni Fundi ila ninazungumzia Kupanga Kikosi kwani Kwenye Kupanga Kikosi Ndiyo Udhaifu Wa Klopp))) basi tutaweza Kupambana Kombe lolote na Kulibeba.

Lakini iwapo atapanga kikosi kwa kuwabeba baadhi ya Wachezaji Wa Kiengereza na Wale Wageni Wanaopendwa na Waingereza, basi si rahisi kushinda taji..

Ninachoomba Ni kuwa Klopp ajiamini kupanga Kikosi ili tushinde taji.

Huu Ni Wakati Wa Xhaqiri kuanza Kwenye Midfield na si Lallana au Milner.
 
Nimefika final kubwa ya ngazi za vilabu duniani msimu uliopita nikiwa SINA kipa
Nikiwa sina Keita wala sina Fabinho wala Shaqir
Nimeongeza wachezaji wanne wazuri,Dan na Lallana wamepona
Kwa nn nisichukue ?
 
Mimi Ninachoamini Klopp akijiamini Katika Upangaji Kikosi (((Sizungumzii Ufundi Kwani Najua Klopp Ni Fundi ila ninazungumzia Kupanga Kikosi kwani Kwenye Kupanga Kikosi Ndiyo Udhaifu Wa Klopp))) basi tutaweza Kupambana Kombe lolote na Kulibeba.

Lakini iwapo atapanga kikosi kwa kuwabeba baadhi ya Wachezaji Wa Kiengereza na Wale Wageni Wanaopendwa na Waingereza, basi si rahisi kushinda taji..

Ninachoomba Ni kuwa Klopp ajiamini kupanga Kikosi ili tushinde taji.

Huu Ni Wakati Wa Xhaqiri kuanza Kwenye Midfield na si Lallana au Milner.
Shaqir HAWEZI kukaba
Ni kos akubwa mechi na Arsenal au Man City au Spurs teams zinazo cheza mpira umpange Shaqiri umuache Milner
Mkongwe Milner anakaba
 
Kwa sababu hadi sasa hakuna wa kumzuia Manchester city mkuuu
Man City anacheza vyema na teams ndogo
Tumeona alivyo cheza hovyo kwa Spurs
Tumeona na Liverpool alipo amua kukaa nyuma
Tena akiwa ugenini ni mweupe sana,Wolves alimzuia
 
loserfool habebi kombe lolote msimu huu niamin.kwanza timu yenyewe sio pana kikosi kinachotegemewa ni kimoja tu hao walio nje huko ni ushuzi mtupu..................salah huyu sio yule wa msimu uliopita amedrop kidogo ,,,,hivyohivyo kwa mane na filminokagere...............hao walio nje ndio wale miguu ya glasi lalana,sturridge,moreno nk hao kina shaqiri na fabinho ni fropper yani hii ligi ikifika katikati ndio mtaelewa nini nazungumza
Kajifunze kwanza uandishi wa lugha yako kwa ufasaha ndio uje hapa! Uandishi wako umeongea vitu vingi kuliko ulicho kiwasilisha hapa jukwaani
 
Kwahiyo Hamuna mpango Wa Kushindana na Man City anaeoongoza Ligi Bali Munashindana na Liverpool kwenye Nafasi ya Pili au?

Mimi siwezi kukuonea Wivu kwa Nafasi ya 2 kwani Kwenye Ligi Nafasi Muhimu Ni ya Kwanza tu.

Sisi tumekaa nafasi ya Pili kwa Wiki kadhaa na wala Hatukuwahi kufurahia nafasi ya Pili bali tuliwaza Ni lini tutakaa juu ya Man City.

Lakini wewe kukaa Nafasi ya Pili kwa Siku 3 tu unaanza kujisifu.

Subiri baada ya Wiki mbili ikisha ulete Mrejesho utakuwa Nafasi yangapi!!!
Man city tutamshusha siku tunacheza nae sisi chelsea
 
Arsenal Akimaliza Juu Ya Liverpool Nakuhakikishia Nahama JF na Nahama Mjini Ninarudi Kwetu Kijijini na Kuachana na Mpira
hayo ni maneno tu ...wewe mwenyewe unajua fika kuwa huna timu ya kuchukua ubingwa msimu huu na suala la ARSENAL kumaliza juu ya LOSERFOOL ni suala la muda tu so tutaona...........katimu kembamba sana hako tusubiri january ................mkichukua ubingwa na timu hii mimi nahama GUNNERS
 
Kajifunze kwanza uandishi wa lugha yako kwa ufasaha ndio uje hapa! Uandishi wako umeongea vitu vingi kuliko ulicho kiwasilisha hapa jukwaani
wewe ndio umeongea nini? mbona kama umepuyanga tu..........hueleweki
 
Unakariri mambo tu!
Mabeki wa pembani:Clyne,TIA,Robo,Moreno
Mabeki wa kati:Matip,Lovren,Gomez,VVD
Viungo:Wilj,Milner,Fabihno,Keita,Hendo,Lallana
Mbele ndiyo wala sitaji akina Dan akina Shaqir na watatu regular!
Kikosi kipana kama hiki kinacho weza kuwa na team mbili kali na bado wachezaji wakabaki kinaitwa eti sio kikosi kipana!Maajabu haya kwa kweli
Liverpool tupo OK sana na tusubiri May
mabeki- clyne,moreno,lovren majanga huyo lovren na matip ni kama maua ya saa nnehawana tofauti na mustafi wangu yaani hapo majembe ni gomez,VVD,ROBO na TAA ambaye nae msimu huu kama ana kauchovu flani nafikiri sababu ya kutumika sana...
viungo-ox,lallana, hawa kama gari la mkaa trip shamba trip gereji.......huyu hendo nyinyi mwenyewe mnamkataaga....fabinho flopper
dani ana mechi zake za kucheza kwa msimu sasa hivi tutaanza kumuona jukwaani hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
hayo ni maneno tu ...wewe mwenyewe unajua fika kuwa huna timu ya kuchukua ubingwa msimu huu na suala la ARSENAL kumaliza juu ya LOSERFOOL ni suala la muda tu so tutaona...........katimu kembamba sana hako tusubiri january ................mkichukua ubingwa na timu hii mimi nahama GUNNERS

HII NDIYO POST YANGU YA MWISHO KUKUJIBU

Napata wasi wasi na umri wako na ufahamu wako ulipo/ulipokuwa shuleni!

Kuna sehemu niliyosema Liverpool inabeba ubingwa?

Mshukuruni Sana Klopp Juzi kupanga timu kwa hisani ya Waingereza, Venginevyo mungelikwisha Kujipiga Ban hapa JF.

Narudia tena Arsenal Hata ipewe muda Wa 1 Century basi kwa Msimu huu haiwezi maliza juu ya Liverpool.
 
Teh teh umehamia kwenye timu ya taifa tena mkuu. Kubali tu umeshindwa
Binafsi hata mimi sikumbuki mara ya mwisho kufuzu ilikua lini ninachokumbuka ni liver alichukua epl mwaka 1990 takribani miaka 28 iliyopita
sio mingi wapo jamaa fulani les blues walisubiri miaka 50
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom