You know me brother, i'm not that deluded.
and if umepitia my recent posts, nimediscuss kuhusu kumpa Klopp muda kuhusu EPL, because he needs more that time ili kubeba hili kombe.
unajua this summer, tulisajili 2 midfielders ambao strength yao ni kwenye mfumo wa 4-2-3-1 (mainly Fabinho), but Klopp anashindwa kuswitch completely kwenye huo mfumo kwasababu anaogopa "his brexit boys" watakuwa eased-out completely.
Jana, kacheza 4-3-3 ili Milner acheze (not bad), but how do you link na front-3 bila ya kuwa second-hand creative mid? ambaye kwasasa ni Shaqiri?, kwanini usicheze mfumo ambao midfielders wako wanakuwa free sana kuucheza? why ucheze defensive game na team ambayo haina defensive cover nzuri?
he played 4-3-3. and Unai kacheza na mfumo wake ule ule wa siku zote wa 4-2-3-1 and he outclassed him kabisa.
Unai knew kabisa mfumo wake huu ungewaondoa kabisa wachezaji kama kina Ramsey, ambao wamekuwepo kwenye Club kwa muda mrefu, but hakujali kabisa but kwa Klopp ni tofauti kabisa ndiyo maana anachelewa sana kuwin trophies.