Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

pointi moja kwa gooners ya leo ni sawa kabisa...they were a bit unlucky goli la Mane kukataliwa na pia Alison leo kafanya kazi yake vizuri..goal la Lacazate that a strikers instinct...
YNWA...
 
so
Tukumbuke Kuwa This season mpaka sasa tupo Unbeaten!

Tumetika sare na:-

Chelsea
Man City
Arsenal


Na wala hatujatoka Sare na Fulham! Kwahiyo hiyo sio progree ndogo.
called big 4 bado wanavitofali...so far this season tupo kwenye right track guys....
next ni Belgrade na pointi tutapambana tuzipate...
Fabinho naona atmosphere ya gonaz kidogo imemchanganya....
Yajayo yanafurahisha
 
wewe mara ya mwisho timu yako ya taifa kufuzu AFCON ilikuwa ni lini mbona mwaka huu inajipa matumaini kuwa itafuzu
Teh teh umehamia kwenye timu ya taifa tena mkuu. Kubali tu umeshindwa
Binafsi hata mimi sikumbuki mara ya mwisho kufuzu ilikua lini ninachokumbuka ni liver alichukua epl mwaka 1990 takribani miaka 28 iliyopita
 
Leo Kwa Klopp sina Cha Kulaumu Kwa Line Up hii...
Kwakweli hii Kwa kikosi chetu ni Strong Line Up..
Kushinda au Kupoteza itategemea na Watakavyoperform pamoja na game plan ya Wapinzani wetu.

Kwa game ya leo hata point 1 ya sare naridhika nayo.
Gini kupangwa nyuma mbele faby humlaumu?
 
Fabinho ana yellow anaogopa ku tackle nashangaa kwanini kocha bado anamuacha

Waliokuwa bench as Subs leo kwa kiungo ilikuwa majanga, ilikuwa hamna namna inabidi jamaa aachwe tu maana kumtoa jamaa ni Lallana ndio alikuwa mkabaji aliyekuwepo sub

Injury ya Keita inatuumiza
 
Teh teh umehamia kwenye timu ya taifa tena mkuu. Kubali tu umeshindwa
Binafsi hata mimi sikumbuki mara ya mwisho kufuzu ilikua lini ninachokumbuka ni liver alichukua epl mwaka 1990 takribani miaka 28 iliyopita
hivi kama liver mara ya mwisho kushinda epl ni 1990 ndio inapaswa ifungwe kila mechi?
 
Kwa Mara nyingine tena Klopp ameonesha udhaifu mkubwa sana. Ameshindwa kabisa kutamba mbele ya Emery Unai.

Historia inazidi kumuhukumu Klopp..

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Hii game ilishaisha 1st half lakini ujinga wa salah ni sababu wa haya matokeo



Hapa tuombee tu Man u amkalishe Man city gameweek ijayo
Mpaka nimetukana peke yangu, huyu jamaa anacheza kivivu sana muda mwingine anabaki na mpira bila msingi
 
Na Totte Anaenda kumtoa pale No.4 Muda Si Mrefu

Hiyo mechi ngumu mzee baba, wakikaba Hazard kwisha habari yao

Kuna Mussa Sissoko huyo, Eriksen huyo,Delle Alli huyo bado na msumbufu mmoja huyo anaitwa Lamela

Na Totte wana beki, wana kiungo, wana striker

Lazima wapoteane

Hapo bado hawajakutana na Guardiola kwenye ligi na huyo huyo huyo Pep anavyowajuliaga!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom