Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,505
- 7,465
Hii game ilishaisha 1st half lakini ujinga wa salah ni sababu wa haya matokeo
Hapa tuombee tu Man u amkalishe Man city gameweek ijayo
Hiyo mechi ngumu mkuu, nakuambia its possible City anashinda
Hii game ilishaisha 1st half lakini ujinga wa salah ni sababu wa haya matokeo
Hapa tuombee tu Man u amkalishe Man city gameweek ijayo
Hata hao wanawaza namna ya kukutana na Chelsea
Clyne naonaga ni mzuri kwenye defence, huyu dogo uwezo bado sana
TAA was good at 2nd Half ila Unai alipofanya sub ya iwobi na Welbek ndio wakamtoa mchezoni kwa Dakika chacheTAA hakuwa na mchezo mzuri tokea msimu huu ulipoanza lakini Clyne naye Ni majanga zaidi kama Moreno.
Najua ni ngumu Man u kutamba mbele ya city lakini hakuna namna adui lazima aombewe njaa.Hiyo mechi ngumu mkuu, nakuambia its possible City anashinda
Hii game ilishaisha 1st half lakini ujinga wa salah ni sababu wa haya matokeo
Hapa tuombee tu Man u amkalishe Man city gameweek ijayo
Mkuu kumbuka Mourihno mzuri wa hizi game kubwa...Msimu uliopita City alifungwa na United umesahau...Eti unasema Man U amfanyaje Man City.? Unaota au
Hii Chelsea ambayo ukikaba Hazard umemaliza kila kitu au?
Wewe jamaa una Matatizo kama Total Shot ni 12 kwa Arsenal na 13 kwa Liverpool .Shot on target ni 4 kwa 4 .Off target 5 Kwa 5Arsenal walikuwa vizuri mno leoView attachment 920504