Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hakuna cha uzuri wala ubaya. Hii game Man City ana 97% za ushindi, draw ni 2% na Man U kushinda ni 1%. Nasema ivyo haijalishi nani yuko ugenini au nyumbani.

Ni maoni yangu mimi.
Mkuu kumbuka Mourihno mzuri wa hizi game kubwa...Msimu uliopita City alifungwa na United umesahau...
Chelsea alipata draw na United dakika ya mwisho.
 
The weak link for Liverpool today, is their midfield. I don't know what's wrong with Fabinho but he is unable to match with Premier League's quick pace. No wonder why he wasn't getting any playing time. He is too slow for PL
#ARSLIV
Nakubali .............. sijawahi kumkubali Henderson lakini Kwa nilichokiona leo Henderson arudi tu
 
TAA hakuwa na mchezo mzuri tokea msimu huu ulipoanza lakini Clyne naye Ni majanga zaidi kama Moreno.

Duh, kuna wakati mgumu maana kama jamaa nae ni mayai viza inamaana akiumia Trent tuko exposed ingawa nae uwezo mdogo
 
Najua ni ngumu Man u kutamba mbele ya city lakini hakuna namna adui lazima aombewe njaa.
Kingine kinachotubeba game saba zijazo zote tunauhakika wa kubeba points kikubwa tuombee tu majeruhi yasitupate na wachezaji waimprove yani mtu kama firmino hajaperform vizur game za karibuni

Firmino eti anacheza kama jana yake alijamiiana na mke wake! Inasikitisha sana
 
Acha kuhadithiwa njoo uishuhudie Chelsea wewe. Vs Burnley tumewapiga 4 bila Hazard kuwepo. Kama ingekua kubahatisha basi ingekua walau hata moja hiyo ni bila Hazard. Alikua majeruhi amekuja timu ilikua inashinda alivyorudi yeye akaongeza ushindi. Hivi hamuyaoni yote hayo.?

Haya bwana na Hazard wenu
 
Bado niko hapa nasubiri mchango wa Shaqiri kwa Liverpool. Maana kuna siku niliwahi kusema nikaambiwa simjui vizuri. Usajili mbovu hamtaki kuamini.


Shaqiri usajili mbovu?
Weakness yake ni kuwa hakabi, mechi zote za kabla ya leo alikuwa anatoka na assist au goli

Leo alimpa pasi ya kupiga goli likiwa wazi Mane akapiga wide
 
Lucas Torreira is a nice little player.

Serie A to PL acquisitions have been strong lately. Salah, Rüdiger, Jorginho, Torreira, Felipe Anderson, Sarri...
 
Upuu
Tukumbuke Kuwa This season mpaka sasa tupo Unbeaten!

Tumetika sare na:-

Chelsea
Man City
Arsenal


Na wala hatujatoka Sare na Fulham! Kwahiyo hiyo sio progress ndogo.

Ni upuuzi na uzwazwa kujisifu unbeaten ilihal hatuwez kuzifunga big teams! Kwa hali hii hatuwez kubeba EPL wa UEfa sababu ili uweze kutwaa mataji hayo ni lazima uwe na mkakati wa ziada wa kuweza kuzifunga big teams.

Kitu kikubwa klopp hakujiandaa kushinda leo, hasa kwenye subs, mtu kama shaqir alitakiwa aingie mapema kama sio kuanza kabisa sababu imethibitika kuwa yeye ndio ana uwezo wa kuwachezesha Mane, salah na firmino.


Kuna wachezaj game changers kama sturrge ilibid waingizwe kama sub kwa ajil ya kupresharazi
 

Upuu


Ni upuuzi na uzwazwa kujisifu unbeaten ilihal hatuwez kuzifunga big teams! Kwa hali hii hatuwez kubeba EPL wa UEfa sababu ili uweze kutwaa mataji hayo ni lazima uwe na mkakati wa ziada wa kuweza kuzifunga big teams.

Kitu kikubwa klopp hakujiandaa kushinda leo, hasa kwenye subs, mtu kama shaqir alitakiwa aingie mapema kama sio kuanza kabisa sababu imethibitika kuwa yeye ndio ana uwezo wa kuwachezesha Mane, salah na firmino.


Kuna wachezaj game changers kama sturrge ilibid waingizwe kama sub kwa ajil ya kupresharazi
mimi nina uhakika tutabeba EPL msimu huu. timu hii inacheza kiutu uzima sana, especially ukiiangalia without the ball.

am disappointed kidogo na result ya leo... why, because kutokana na very tight margins kwenye title race msimu huu, I consider it to be 2 points dropped today.
but kwenye title run-in phase (March - May) am sure we'll be back to our usual swashbuckling self kutokana na energy tunayoi conserve kwenye hatua hii ya awali.
 
Fabinho ni mchezaji wa kawaida sana hawez kulinganishwa na emre hata kidogo.yaan jamaa anauogopa mpira anakaba na macho wakat yeye ni namba 6.yule hawez kuhimili presha za viungo wa timu kubwa. Mm naona Leo yeye ndo kazingua amesababisha hadi gini kaflop
 
Hakuna cha uzuri wala ubaya. Hii game Man City ana 97% za ushindi, draw ni 2% na Man U kushinda ni 1%. Nasema ivyo haijalishi nani yuko ugenini au nyumbani.

Ni maoni yangu mimi.
Muda mwingine unahitaji kumheshimu mpinzani wako Manchester city ali drop 2 point kwa Wolverhampton nani aliyetegemea
 
Fabinho ni mchezaji wa kawaida sana hawez kulinganishwa na emre hata kidogo.yaan jamaa anauogopa mpira anakaba na macho wakat yeye ni namba 6.yule hawez kuhimili presha za viungo wa timu kubwa. Mm naona Leo yeye ndo kazingua amesababisha hadi gini kaflop

Huyo Gini ana kipi cha ziada jomba? Sijaewa role yake kwa kweli. Huwa anaung'ang'ania mpira katika nyakati hata sizo
 
Fabinho ni mchezaji wa kawaida sana hawez kulinganishwa na emre hata kidogo.yaan jamaa anauogopa mpira anakaba na macho wakat yeye ni namba 6.yule hawez kuhimili presha za viungo wa timu kubwa. Mm naona Leo yeye ndo kazingua amesababisha hadi gini kaflop
Mkuu bado ni Mapema sana kutoa hitimisho hilo..Game ya Leo imemkataa jamaa lakini haina maana ni mbovu..
Pia huu ni msimu wake wa Kwanza so inawezekana hajaadapt na soka la EPL.
 
Wakuu,
Droo siyo mbaya japo imeniumiza coz tumekosa clear chances nyingi sana leo.
Pili Arsenal nao tuwape heko, walikuwa very organized leo.
Tatu, tuangalie next game ya Fulham akitufuata Anfield tumpe dozi kubwa ili kupunguza goal difference between sisi na Man City ambaye probably kesho atavuna tena magoli.
YNWA!
 
Upuu


Ni upuuzi na uzwazwa kujisifu unbeaten ilihal hatuwez kuzifunga big teams! Kwa hali hii hatuwez kubeba EPL wa UEfa sababu ili uweze kutwaa mataji hayo ni lazima uwe na mkakati wa ziada wa kuweza kuzifunga big teams.

Kitu kikubwa klopp hakujiandaa kushinda leo, hasa kwenye subs, mtu kama shaqir alitakiwa aingie mapema kama sio kuanza kabisa sababu imethibitika kuwa yeye ndio ana uwezo wa kuwachezesha Mane, salah na firmino.


Kuna wachezaj game changers kama sturrge ilibid waingizwe kama sub kwa ajil ya kupresharazi

Msimu Wa 2016/17 tulimfunga Chelsea, Tukamfung Arsenal, tukamgunga Spurs, Tukamgunga Man City na Tukadraw na Man United je unajua kuwafunga wote hao wakubwa unajua muda kama huu baada ya Michezo 11 tulikuwa na Points ngapi kwenye nafasi ya ngapi?
Na unajua kuwa mwisho Wa msimu Hata Top 4 tuliingia kimiujiza?
Kwahiyo EPL is not all about beating zile Top teams tu, but Ni Marathon.
 
Mashabiki wa Liverpool mpo disappointed na matokeo Utafkiri mmepata draw na Newcastle...Amkeni hii ni Arsenal tofauti na Ile mliyokua mnainyanyasa..Mpaka mnakutana nayo haijapoteza mechi 13..
Bado mbio za Ubingwa zipo wazi sana..hakuna Timu ambayo haitadondosha points...

Point moja kwa Arsenal hii Sio mbaya..It's a new era.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom