Lecheminduroi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 1,183
- 3,593
Ishu ya Clyne ipo wazi sana klopp hamkubali huyu jamaa halafu huyo solanke sitii maneno mengi utaona we mwenyewe kwenye hizi mech mbili tatu zijazoMkuu wewe ni mshabiki wa Liverpool ila ujaribu kidogo kufuatilia team yako kwa undani. Clyne alicheza kwenye game ya Carling cup, kama uliangalia ile mechi utakuelewa kwanini kocha anamuweka nje. Clyne siyo yule tuliyekuwa tunamjua. Alikaa mwaka mzima msimu uliopita bila kugusa mpira akiuguza majeraha. Jamaa anahitaji muda ili arudi kwenye kiwango kile. Solanke ni mzima na mara kwa mara amekuwa akicheza kwenye mechi za U23 ila kwa msimu huu ujio wa shaqiri na kurejea kwa sturridge sioni nafasi kwa origi na solanke, hawa wanasubiri January waende kwa mkopo na wanatakiwa na Newcastle.
Game ya arsenal Lovren angekuwa mzima. Trent asingeanza ile mechi. Na lovren akianza mara nyingi nafasi ya Trent huchukuliwa na Gomez. Kwa maoni yangu yupo sahihi na ana taarifa nyingi kuliko sisi mashabiki tumpe support