Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Niwe na chuki na mchezaji wa liver inanisaidia nini? Yaani kutofautiana kimawazo ndio uconclude kwamba ni chuki?
Inawezekana unafurahishwa zaidi na chenga kuliko kutengeneza nafasi au kufunga magoli... kama salah angekuwa makini kipindi cha kwanza basi tungekuwa tunaongoza si chini ya goli mbili, harafu pia inabidi ukumbuke goli letu jana limetokana na juhudi za mane sasa kati ya mimi na wewe nani anachuki na mchezaji
Sawa kama zile tulizo kosa sio nafasi
 
Naona lawama nyingi za kuboronga kwa mid yetu jana zinaenda kwa Fabinho while both Milner and Gin walifichwa, Arsenal waliutawala sana mpira eneo la kati, generally our perfomance was poor ingawa still unbeaten and one point away so mbaya. Msimu huu bundi kahamia eneo la midfield but we have time to change

Mkuu Huyu Bundi Kwenye Midfield hajahamia Leo! Yupo tokea walipoondoka Alonso na Mascherano...

Last season Midfield haikuonekana udhaifu wake kutokana na Watu kuwa Blinded na Performance ya Front 3 yetu kwavile ilikuwa ikitupia mpaka magoli ya Ziada.

Lakini kwasababu msimu huu Front 3 yetu imekuwa Ni Toothless Tiger ndiyo weakness ya Midfielders wetu imeonekana.

Kiukweli Mimi matokeo ya Jana nayachukulia kuwa Ni Mafanikio makubwa sana Kwani Watu bado Wamekariri hile Arsenal ya Wenger tuliyokuwa tukijipigia mdondo.


Kwa Arsenal ya Jana basi Liverpool tungelikuwa Wabovu kama Watu Wanavyozania basi tungelilala mapema tu.. Hebu angalia last season Arsenal mbovu tuliishia sare ya 3 - 4.

Hama nasubiri next game tu ndiyokilichobakia.
 
Laiti Jana ingelikuwa Gini na Milner wamecheza vyema halafu Fabinho akaboronga basi ningelishiriki Kumlaumu! Lakini Gini alipotea na Milner alipotea then ameonekana Fabinho peke Yake kisa tu watu wanataka Kuprove kuwa Mchezaji wao Henderson ndiyo Midfield sahihi ya Liverpool.

Wamesahau kuwa na Hendo huyuhuyu aliekwa Mvunguni na Napoli mpaka tukiulizana kuwa Hendo ameshatolewa? Kumbe bado alikuemo uwanjani.
 
Yani Salah anakaa na mpira bila mantiki kweli kabsaa?
Hivi kati ya hao nani alitengeneza nafasi zilizo koswa?
Inamaana hujamuona mane alivyo kua anamtegemea refa badala ya kupambana? Utakua unachuki zitakutesa.
Kwa wachezaji wa mbele Salah kacheza vyema mnoo.
Kama unazani kufunga ndo kucheza vyema mimi hapana.
Salah alicheza vizuri haswa kwenye kutoa pasi za mwisho kumbuka ile ya vvd na kipa wa arsenal ila kuna muda mwingine yeye kama striker alipaswa awe na maamuzi magumu ya kujaribu yeye mwenyewe kuliko kutoa pasi
 
Salah alicheza vizuri haswa kwenye kutoa pasi za mwisho kumbuka ile ya vvd na kipa wa arsenal ila kuna muda mwingine yeye kama striker alipaswa awe na maamuzi magumu ya kujaribu yeye mwenyewe kuliko kutoa pasi
Sala kupoga hawezi wala usitegemee apige mbali afanikiwe mchunguze anafunga kiujanja ujanja tu anazidiwa mbali na shaqili kwa nguvu za kupiga

Hafu ujue sisi hatutumii triker. Ma striker ni Sturige Origi na Solanke mfumo unawakataa japoa kwa Origi aliumudu akatufikisha fainal

Jana nimegundua Klop hajiamini
 
Sala kupoga hawezi wala usitegemee apige mbali afanikiwe mchunguze anafunga kiujanja ujanja tu anazidiwa mbali na shaqili kwa nguvu za kupiga

Hafu ujue sisi hatutumii triker. Ma striker ni Sturige Origi na Solanke mfumo unawakataa japoa kwa Origi aliumudu akatufikisha fainal

Jana nimegundua Klop hajiamini
ni kweli klopp huwa hana maamuzi magumu na huwa hana plan b
 
Niwe na chuki na mchezaji wa liver inanisaidia nini? Yaani kutofautiana kimawazo ndio uconclude kwamba ni chuki?
Inawezekana unafurahishwa zaidi na chenga kuliko kutengeneza nafasi au kufunga magoli... kama salah angekuwa makini kipindi cha kwanza basi tungekuwa tunaongoza si chini ya goli mbili, harafu pia inabidi ukumbuke goli letu jana limetokana na juhudi za mane sasa kati ya mimi na wewe nani anachuki na mchezaji

We naye umepotea njia! Perfomance ya Salah jana ilikuwa ya viwango vya juu! Salah kasababisha nafasi nyingi kwa mane na firmino sema ndo hvyo umaliziaji ulkuwa tatizo.
 
So, Liverpool fans wa hii platform walikuwa wananiambia kuwa "its okay kucheza vibaya as long as tunashinda"

if anything, perfomance ya jana imeonesha kuwa bado tunasafari ndefu sana ya kubeba EPL, matter of fact, shabiki yeyote mwenye akili angeligundua hilo baada ya ile game ya Chelsea.

Sarri and Unai both outclassed Klopp completely and its sad because wapo na team zao si chini ya miezi minne, but wote wamecheza mpira mzuri kuliko LFC, tulipokutana nao. Klopp been here kwa miaka mitatu na bado ana-struggle na formations

its been nothing but useless long balls, we are not even trying to press teams anymore, and LFC fans ndiyo walikuwa wanaongoza kumponda Mourinho na his long ball tacticts, sasa inakuwaje kuhusu Klopp? shit perfomances week in, week out, how can you play long balls wakati una players wanao weza kupress?

4-2-3-1 (pivot ya Gini na Fabinho) ilikuwa imeanza kufanya vizuri, but man kaenda Emirates na kuona kuwa 4-3-3 will be good enough to win him the game, games ngapi tumeshinda msimu huu na hiyo useless 4-3-3, unachezaje 4-3-3 bila kuwa na transitional merchant kama Ox or even Keita? how can you go at Emirates and embarrass the fans by playing defensive footie against Arsenal ffs?

Told you guys, weeks ago, forget abou EPL, City are walking the league again, we need a lot of time with this "coward" manager ili kubeba EPL.
 
and, we need to discuss about hela tulizospend this summer. lakini bado our manager anashindwa kucointain his midfield.

Juzi Klopp alikuwa quoted kuwa, Fabinho anacheza vizuri kwenye double pivot ya 4-2-3-1, but kaenda Emirate kucheza 4-3-3, akitegemea mchezaji ambaye hajawahi kucheza huo mfumo ataperfom against Arsenal lmao

as if the last thing i need is for keita and Fabinho to flop at LFC, he might as well continue to play his useless workhorses midfielders na kuwaweka kina Faby bench, need them to leave this club ASAP man, and luckly Mendes ameanza kupush move ya Faby to PSG.

i mean, if you buy players for 44m and 50m respectively and you cant play them to their strength because you want to accomodate your fav players ambao hawajakushindia chochote then you dont deserve to be called a WC manager.
 
Klopp amempoteza his right hand man ambaye alikuwa nae tangu anaanza kufundisha mpira,

and suddenly, he cant even combine the team-play or even coach the attacking patterns lol

and he sacked him 2 weeks before the CL fina lol

he used to call him the "brain" and now ambapo hayupo inaonesha wazi kuwa kweli alikuwa ni "brain"
 
Kwenye game vs Napoli tulifungwa hasa Hata draw ilitushinda wakati Henderson alikuwemo.
Na Midfield yetu iliwekwa Mfukoni mwanzo mwisho na Napoli.
Kwahiyo logic yako sijajua umekusudia nini.

Henderson ni mchezaji mbovu sana mwenye hana forward mentality, yeye kila mpira lazima arudishe nyuma hali inayopelekea ukame wa pass kwa 3 fronts wetu.
 
Man, that Fabinho perfomance y'day imenikumbusha ile game ya kwanza ya Emre can at DM lol

my man Fabinho was skinned right, centre and left loooooooooool

he was so shit man, couldnt believe my eyes

i guess it will be Henderson now for the rest of the season, because even Keita was dropped completely baada ya ile shit perfomance against Leicester.
 
and, kama Top Class midfielders like Faby and Keita watashindwa ku-work at LFC,, then forget kuhusu aina yeyote ya talented midfielder ku-work under Klopp.

he needs to play his workhorses mids, asije akaharibu reputation ya kina Keita...
 
and, kama Top Class midfielders like Faby and Keita watashindwa ku-work at LFC,, then forget kuhusu aina yeyote ya talented midfielder ku-work under Klopp.

he needs to play his workhorses mids, asije akaharibu reputation ya kina Keita...
Imekuwaje tena mabingwa mbona ndio kwanza mechi 10 mnaanza kumtukana Klopp?
 
Imekuwaje tena mabingwa mbona ndio kwanza mechi 10 mnaanza kumtukana Klopp?

You know me brother, i'm not that deluded.

and if umepitia my recent posts, nimediscuss kuhusu kumpa Klopp muda kuhusu EPL, because he needs more that time ili kubeba hili kombe.

unajua this summer, tulisajili 2 midfielders ambao strength yao ni kwenye mfumo wa 4-2-3-1 (mainly Fabinho), but Klopp anashindwa kuswitch completely kwenye huo mfumo kwasababu anaogopa "his brexit boys" watakuwa eased-out completely.

Jana, kacheza 4-3-3 ili Milner acheze (not bad), but how do you link na front-3 bila ya kuwa second-hand creative mid? ambaye kwasasa ni Shaqiri?, kwanini usicheze mfumo ambao midfielders wako wanakuwa free sana kuucheza? why ucheze defensive game na team ambayo haina defensive cover nzuri?

he played 4-3-3. and Unai kacheza na mfumo wake ule ule wa siku zote wa 4-2-3-1 and he outclassed him kabisa.

Unai knew kabisa mfumo wake huu ungewaondoa kabisa wachezaji kama kina Ramsey, ambao wamekuwepo kwenye Club kwa muda mrefu, but hakujali kabisa but kwa Klopp ni tofauti kabisa ndiyo maana anachelewa sana kuwin trophies.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom