Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hehee.. Airtime ndio mdudu gani.?

Naomba nieleweke sijasema Shaqiri ni mbovu. Nilichosema kwa timu kama Liverpool hakukua na haja ya kumsajili mtu kama Shaqiri. Wangehangaika wakapata mtu bora zaidi yake. Ufundi wake labda Soton au Stoke City.


Shaqiri ni kiungo mwenye hadhi ya kuchezea Liverpool au hata zaidi. Ni mchezaji ambae anao uwezo wa kutengeneza nafasi, hebu kacheki stats last season alitengeneza nafasi ngapi

Tunalalamika humu kila siku kuwa kiungo chetu hakiwatengenezei nafasi forward zetu, viungo wetu wanamaliza msimu assists za ligi mtu unakuta huyo midfielder ambao unawaita wana hadhi ya kuchezea LFC anamaliza msimu ana assists mbili za ligi!

Halafu Huko kwengine viungo aho wanaocheza role moja wana assists 16 na key role kibao

Unamchukulia poa huyo Shaqiri fanya kwenda kucheki top 5 ya wachezaji waliotengeneza nafasi nyingi za magoli msimu uliopita
 
Wapo Fanboys wa Liverpool waliobeba ubingwa kabla ya Ligi kuanza lakini mimi mpaka sasahivi sijafikiria kuwa kuna timu inayoweza kubeba ubingwa mbele ya Man City.
Sifa kubwa ya sisi washabiki wa Liver ni kuipenda team yetu hata katika wakati mbaya. Swali la kujiuliza je mwaka huu tuko vizuri kuliko mwaka jana? kuna improvements? Mimi nadhani yes, na tunaweza tusichukuwe ubingwa lakini tuta challenge mpaka mwisho na huwezi kujuwa huko mbele maana league ni ngumu. Kuhusu midfield nakubali tuna tatizo bado tunahitaji mtu mfano wa dybala anayeweza kupiga pass za mwisho maana tuna defence midfields wengi ukiondoka Keita kidogo hapo tunajitaji kuboresha. ukiniuliza nani tumnunue sina jibu na huo ndio mjadala tunatakiwa kuongelea. wapi tuboreshe.
 
Keitanabydeco na AOX.. Tunawaombea warudi tu mapema tena wakiwa on form!! Nahisi creativity itaongezeka kwenye mid
 
Kwenye game vs Napoli tulifungwa hasa Hata draw ilitushinda wakati Henderson alikuwemo.
Na Midfield yetu iliwekwa Mfukoni mwanzo mwisho na Napoli.
Kwahiyo logic yako sijajua umekusudia nini.
Mpira ni collectively effort sio mtu mmoja!
Angecheza leo Hendo angetukanwa sana lkn wamecheza wanao jua bado Arsenal kaongoza kwa kumiliki mpira!
Rai yangu kwenu ni team ikifanya vibaya tusi single out mchezaji bali iwe team yote imefanya vibaya!
Kwangu mm kwa jana Liverpool wote 11 uwanjani walikuwa Simba walio vaa jezi kuitetea team!
Fabihno alipwaya zaidi lkn ndiyo soka wala simlaumu na naelewa atachukulia mechi ile kama changamoto
 
Sifa kubwa ya sisi washabiki wa Liver ni kuipenda team yetu hata katika wakati mbaya. Swali la kujiuliza je mwaka huu tuko vizuri kuliko mwaka jana? kuna improvements? Mimi nadhani yes, na tunaweza tusichukuwe ubingwa lakini tuta challenge mpaka mwisho na huwezi kujuwa huko mbele maana league ni ngumu. Kuhusu midfield nakubali tuna tatizo bado tunahitaji mtu mfano wa dybala anayeweza kupiga pass za mwisho maana tuna defence midfields wengi ukiondoka Keita kidogo hapo tunajitaji kuboresha. ukiniuliza nani tumnunue sina jibu na huo ndio mjadala tunatakiwa kuongelea. wapi tuboreshe.
Mkuu mwaka huu tupo vyema sana
Uzuri ni kuwa Klopp sasa anavipiga hivi vitimu vidogo ambavyo vilikuwa vinatusumbua sana
Tupo sawa sana tena sana,draws zetu ni teams za wakubwa wenzetu na mbili ni ugenini
 
Mpaka sasa nashindwa kuelewa hivi hawa kina Mane, Salah na Firmino ndo walewale wa mwaka jana au tumebadilishiwa?

Walitubeba timu ikiwa haina defense, leo defense iko wao wamepotea.
 
Sasa uniambie Liverpool inatwaa ubingwa wataanzia wapi kama huwezi kumfunga kigogo hata mmoja

Hawa washabiki Wa Chelshit akili zao sijui zina madini gani!!!

Chelsea kadraw Home na Liverpool na Man United, Na Kashinda Home dhidi ya Arsenal...

Liverpool kadraw Away na Chelsea na Arsenal...
Kashinda Away dhidi ya Spurs...
Kadraw Home dhidi ya Man City.

Halafu unatokea mshabiki Wa Chelshit anaandika Comment kama hiyo....
Sasa wewe uliyemfunga Arsenal pekee tena home, Na Mimi niliyemfunga Spurs pekee tena Away kweli ulichokiandika Kinamake sense?

Sasa Round ya Kwanza umecheza Home mechi za Vigogo zote na umeibuka na Vidraw, basi subiri 2nd round uanze kutoka Away then uje na Comment kama hii.
 
Sifa kubwa ya sisi washabiki wa Liver ni kuipenda team yetu hata katika wakati mbaya. Swali la kujiuliza je mwaka huu tuko vizuri kuliko mwaka jana? kuna improvements? Mimi nadhani yes, na tunaweza tusichukuwe ubingwa lakini tuta challenge mpaka mwisho na huwezi kujuwa huko mbele maana league ni ngumu. Kuhusu midfield nakubali tuna tatizo bado tunahitaji mtu mfano wa dybala anayeweza kupiga pass za mwisho maana tuna defence midfields wengi ukiondoka Keita kidogo hapo tunajitaji kuboresha. ukiniuliza nani tumnunue sina jibu na huo ndio mjadala tunatakiwa kuongelea. wapi tuboreshe.

Kwa upande wangu msimu huu iwapo tutaendeleza kasi hiihii, na Man City & Chelshit wataendeleza kasi walizonazo mpaka mwisho Wa msimu! Basi Hata tukamate nafasi ya tatu sitolalamika kwani tumekutana na Upinzani mkali kwakweli kwenye msimu huu.
 
Mpaka sasa nashindwa kuelewa hivi hawa kina Mane, Salah na Firmino ndo walewale wa mwaka jana au tumebadilishiwa?

Walitubeba timu ikiwa haina defense, leo defense iko wao wamepotea.
Mane anafanya kazi kubwa ila ndio vile haonekani sana kuliko salah anayekaa na mpira bila mantiki yoyote...


Harafu mi nilishasema jana ukianzisha gini fab na milner unaingia kulinda sio kushambulia hapa ndio huwa naona pengo la coutinho na kikubwa tuombee ox apone haraka manake klopp ameshindwa muamini shaqiri kabisa.


Game ya jana hakukuwa na kiungo yoyote mbunifu ndani wote ni wazuri nyuma sio mbele hii inawafanya hawa jamaa wetu watatu waonekane kama wamepoteana hivi
 
Tumepata point muhimu sana na mechi imeisha tunajipanga na zinazo kuja
Overall Fabihno,Trent na Firmino walikuwa na mechi mbovu lkn ndiyo soka!
Gini na Fabihno nani alikua na mechi mbuvu zaidi?
Mimi naamini kuna mbinu mbovu jana zilizo sababisha tukacheza vibaya

Kumuogopa adui ni ndo kushindwa kwenyewe huko
 
Siku tutakayofungwa EPL nadhani kuna watu watahama timu..
Yani Jana draw tu na Arsenal watu wamepanic..

Lakini hili ndiyo Tatizo la Watu kujitangazia Ubingwa kwa Mihemko wakisahau kuwa Wenzetu kina Chelsea na Man City wana uwekezaji Mzuri kuliko sisi.

Watu wameingiza Joginho na Mahrez wewe unafufua Lallana na Sturridge then unadraw na Arsenal unaanza kuchachawa.

Na sifa ya Plastic Fans subiri tushinde mechi ijao uone watatiririka hapa na Kunadi Makombe yote yetu na kusifu kuwa tuna bonge la timu.
 
Mane anafanya kazi kubwa ila ndio vile haonekani sana kuliko salah anayekaa na mpira bila mantiki yoyote...


Harafu mi nilishasema jana ukianzisha gini fab na milner unaingia kulinda sio kushambulia hapa ndio huwa naona pengo la coutinho na kikubwa tuombee ox apone haraka manake klopp ameshindwa muamini shaqiri kabisa.


Game ya jana hakukuwa na kiungo yoyote mbunifu ndani wote ni wazuri nyuma sio mbele hii inawafanya hawa jamaa wetu watatu waonekane kama wamepoteana hivi
Yani Salah anakaa na mpira bila mantiki kweli kabsaa?
Hivi kati ya hao nani alitengeneza nafasi zilizo koswa?
Inamaana hujamuona mane alivyo kua anamtegemea refa badala ya kupambana? Utakua unachuki zitakutesa.
Kwa wachezaji wa mbele Salah kacheza vyema mnoo.
Kama unazani kufunga ndo kucheza vyema mimi hapana.
 
Siku tutakayofungwa EPL nadhani kuna watu watahama timu..
Yani Jana draw tu na Arsenal watu wamepanic..

Lakini hili ndiyo Tatizo la Watu kujitangazia Ubingwa kwa Mihemko wakisahau kuwa Wenzetu kina Chelsea na Man City wana uwekezaji Mzuri kuliko sisi.

Watu wameingiza Joginho na Mahrez wewe unafufua Lallana na Sturridge then unadraw na Arsenal unaanza kuchachawa.

Na sifa ya Plastic Fans subiri tushinde mechi ijao uone watatiririka hapa na Kunadi Makombe yote yetu na kusifu kuwa tuna bonge la timu.
Kwa mimi sijachukizwa na sale ila nimechukizwa na kiwango kibovu cha team.
unazani wapinzani wengine wanajifunza nini juu ya mbinu za Klop?
 
Yani Salah anakaa na mpira bila mantiki kweli kabsaa?
Hivi kati ya hao nani alitengeneza nafasi zilizo koswa?
Inamaana hujamuona mane alivyo kua anamtegemea refa badala ya kupambana? Utakua unachuki zitakutesa.
Kwa wachezaji wa mbele Salah kacheza vyema mnoo.
Kama unazani kufunga ndo kucheza vyema mimi hapana.

Mimi huwa napata ukakasi kuquote baadhi ya Watu! Jana Salah ndiyo katika Wachezaji wetu walioperfirm vizuri lakini mtu sijui anaangalia game LiveScore ikisha anaandika maajabu.
 
Naona lawama nyingi za kuboronga kwa mid yetu jana zinaenda kwa Fabinho while both Milner and Gin walifichwa, Arsenal waliutawala sana mpira eneo la kati, generally our perfomance was poor ingawa still unbeaten and one point away so mbaya. Msimu huu bundi kahamia eneo la midfield but we have time to change
 
Nimeiangalia Liverpool msimu huu, ninachoweza kusema ni kimoja, na naomba uchukuliwe kama mtazamo wangu na simlazimishi yeyote kuukubali, Liverpool hatuna viungo wa kutupa makombe msimu huu.

Jana tulipoteana, na hakukuwa hata na mtu wa kuokoa jahazi kwa waliokuwa benchi (majeruhi yanaweza kuwa chanzo).

Game by game, tumekuwa watu wa winning ugly, muhimu matokeo, big matches tulizocheza EPL tumedroo kwa bahati; Chelsea tulirudisha mwishoni, Man City alikosa penalty, jana kwa Arsenal tulikuwa ovyo.

Tottenham tulishinda lakini kama refa angeamua kutoa ile penalty tungeweza droo.

Natamani ifikie mahali timu irudishe amsha amsha ya last season ili niwe naenda kuangalia game kwa amani.

All in all hatujapoteza, hiki ni kitu cha kujisifu sana, maana hata timu i-kickoff kwa swaga za msimu ulioisha ni hatari sana.
 
Yani Salah anakaa na mpira bila mantiki kweli kabsaa?
Hivi kati ya hao nani alitengeneza nafasi zilizo koswa?
Inamaana hujamuona mane alivyo kua anamtegemea refa badala ya kupambana? Utakua unachuki zitakutesa.
Kwa wachezaji wa mbele Salah kacheza vyema mnoo.
Kama unazani kufunga ndo kucheza vyema mimi hapana.
Niwe na chuki na mchezaji wa liver inanisaidia nini? Yaani kutofautiana kimawazo ndio uconclude kwamba ni chuki?
Inawezekana unafurahishwa zaidi na chenga kuliko kutengeneza nafasi au kufunga magoli... kama salah angekuwa makini kipindi cha kwanza basi tungekuwa tunaongoza si chini ya goli mbili, harafu pia inabidi ukumbuke goli letu jana limetokana na juhudi za mane sasa kati ya mimi na wewe nani anachuki na mchezaji
 
Mimi huwa napata ukakasi kuquote baadhi ya Watu! Jana Salah ndiyo katika Wachezaji wetu walioperfirm vizuri lakini mtu sijui anaangalia game LiveScore ikisha anaandika maajabu.
Mkuu ni mtazamo wangu sio lazima kuukubali kama mimi ninavyokinzana na mtazamo wako... Simple
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom