Tupia na la Lacazette
Mane hapewi sifa anazostahili kupewa
Tupia na la Lacazette
said n done...nice gameLeo Kwa Klopp sina Cha Kulaumu Kwa Line Up hii...
Kwakweli hii Kwa kikosi chetu ni Strong Line Up..
Kushinda au Kupoteza itategemea na Watakavyoperform pamoja na game plan ya Wapinzani wetu.
Kwa game ya leo hata point 1 ya sare naridhika nayo.
Amen. As I wished.Draw itapendeza sana leo.
our front 3 are not pressing enough wanafanya kazi ya midfielder wetu kuwa kubwa na arsenal wamejaa kwenye kiungo
vs gooners s neva boring....Classic Match
Mkuu Ngwaba first half nimepiga shots 9 in general...Nyingi kuliko ulizopigiwa since 2017 ulivyocheza na Leicester...Wametukosa nafasi Nyingi Kivipi? Mbona stats zinasema tunakosana sote!!!
Wana 2 tu On Target kama sisi...
Nilichokiona Mimi Ni Kuwa Wao Wanacheza Mpira zaidi kuliko sisi lakini si kwamba Wanatushambulia zaidi kama unavyosema.
View attachment 920449
Wametukosa nafasi Nyingi Kivipi? Mbona stats zinasema tunakosana sote!!!
Wana 2 tu On Target kama sisi...
Nilichokiona Mimi Ni Kuwa Wao Wanacheza Mpira zaidi kuliko sisi lakini si kwamba Wanatushambulia zaidi kama unavyosema.
View attachment 920449