Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tuseme ukweli tu hawa Arsenal wametukosa chance nyingi mno, ndio yale ya viungo wetu kuwa sio wabunifu. Gini is selfish and less creative Mid along with Milner, namkubali AOX kama kiungo wetu mbunifu na asie mbinafsi
 
Bonge la game.
Namshukuru Mungu mpaka sasa yupo safe. Kipindi cha pili defence yetu inatakiwa kaongeza umaskini maana kwa aina ya mpira Arsenal wanacheza anaweza kutudhuru muda wowote.

Fabby kwangu mimi naona kaflop kipindi hiki cha kwanza. Tunammiss Keita kwa kweli.
 
Bonge la game.
Namshukuru Mungu mpaka sasa yupo safe. Kipindi cha pili defence yetu inatakiwa kaongeza umaskini maana kwa aina ya mpira Arsenal wanacheza anaweza kutudhuru muda wowote.

Fabby kwangu mimi naona kaflop kipindi hiki cha kwanza. Tunammiss Keita kwa kweli.

Well said Kop, Fabinho nimemuona tackle zake nyingi that first half anazimalizia kwa kudondoka chini
 
Tuseme ukweli tu hawa Arsenal wametukosa chance nyingi mno, ndio yale ya viungo wetu kuwa sio wabunifu. Gini is selfish and less creative Mid along with Milner, namkubali AOX kama kiungo wetu mbunifu na asie mbinafsi
our front 3 are not pressing enough wanafanya kazi ya midfielder wetu kuwa kubwa na arsenal wamejaa kwenye kiungo
 
Ila inawezekana maana ule upande wa dogo Trent ni majanga matupu.
Trent amecheza vizuri saana anafanya kazi kubwa upande wake ndo arsenal wanataka kuutumia kupita Ozil,Aub na lacazette wana force wote wapite
 
Tuseme ukweli tu hawa Arsenal wametukosa chance nyingi mno, ndio yale ya viungo wetu kuwa sio wabunifu. Gini is selfish and less creative Mid along with Milner, namkubali AOX kama kiungo wetu mbunifu na asie mbinafsi


Wametukosa nafasi Nyingi Kivipi? Mbona stats zinasema tunakosana sote!!!
Wana 2 tu On Target kama sisi...
Nilichokiona Mimi Ni Kuwa Wao Wanacheza Mpira zaidi kuliko sisi lakini si kwamba Wanatushambulia zaidi kama unavyosema.

Screenshot_20181103-212632.png
 
HAHAHAHAH HUYU FABINHO NILISEMAGA KITAMBO KUWA NI FLOP MTARAJIWA KUNA MAJAMAA YAKATAKA YANIPIGE HUMU
 
Fabinho ana yellow anaogopa ku tackle nashangaa kwanini kocha bado anamuacha
 
HAHAHAHAH HUYU FABINHO NILISEMAGA KITAMBO KUWA NI FLOP MTARAJIWA KUNA MAJAMAA YAKATAKA YANIPIGE HUMU

Hapana kaka huwezi fikia maamuzi hayo kwa mechi moja tu
Tumpe nafasi,kiwango chake leo na hela tuliyo lipa haviendani kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom