Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,533
- 81,264
Besiktas want to send Karius back to Liverpool and take Origi instead.
ucwe mvivu mkuu sometimes pitia kuwapa hi fans wenzakoDah! Yani kipindi hichi ambacho hakina games ninakuwa mvivu kweli Wa kupita kwenye huu uzi
Sikuwahi kumuamini Karius mbele ya Mignolet!Besiktas wanataka kuturudishia mzigo wetu Karius. Yani hata wao umewashinda.
Lakini nini kimeenda kombo na Karius?
Alipokuwa Mainz alikuwa ni moja ya makipa bora kabisa katika league, kupitia gazeti maarufu la michezo la Kicker alichaguliwa kuwa kipa namba mbili kwa ubora nyuma ya Neuer katika Bundesliga.
Alikuwa ameokoa penati nne kati ya saba zilizopigwa langoni mwake katika mechi mbalimbali lakini sasa kageuka kuwa "kituko". Tulidhani tukimtoa kwa mkopo itasaidia kurejesha imani na kujiamini kwake lakini bado.
Hata huko Besiktas hafanyi vema kiasi kwamba wanataka kukatisha mkopo.
Nahofia hili ni anguko lake. Anazidi kumomonyoka kisaikolojia kiasi kwamba hataweza tena kung'aa.
maneno mengi hayo Sari kombe hana...Klopp akiwa Dortmund na ushindani na utajiri wa Bavarians alichukua.....Yeye ndo alijitahid kuleta competition kwa Juventus. Napoli ile imesimama vile kwa sababu yake mpaka wachezaji wanamsifu kina Allan na Koulibally. Msimu uliopita unakumbuka nadhan alivyopunguza gap. Ila me nataka tuhesabu miezi yake miwili pale Chelsea na philosophy yake inavyoenda vizuri. Ameichukua timu kutoka kwa kocha mwenye philosophy ya kukaba Conte
kama Mourinho
everyone is replaceable, hakuna aliejuu ya timu hivyo wakiona anagoma wamuuze mapema mkwaja wa kueleweka sio kukubebeleza inafika kama Can au Ledowski anaodoka bure...Mpaka sasahivi sijasikia strong rumours kuhusu usajili January!! Nahisi hatutosajili...
Na issue ya Mane Klopp aanze kutafuta Mbadala na Mapema Kwani Mnyamwezi anaonesha wazi kuwa hana plan ya kusaini Mkataba mpya Bali anasubiri amalize this current contract asepe.
some awesome news....all the best in thier rehabAOC could return before the end of the season although Liverpool won't rush him back. Rhian Brewster expected to fully recover ahead of AOC and could make his senior appearance for the reds in the second leg of the season.View attachment 916293
League goals conceded since Virgil van Dijk made his league debut for LFC :
Real Madrid - 44 (!!!!)
Barcelona - 32
ManUtd - 30
Bayern - 27
ManCity - 17
Juventus - 16
Atletico - 14
Liverpool - 14
Do your homework mate!Malizia na Trophies won since VVD made his league debut for LFC:
Real Madrid -
Barcelona -
ManUtd -
Bayern -
ManCity -
Juventus -
Atletico -
Liverpool -
Let me guess, Liverpool -0Do your homework mate!
Correct. Who cares?Let me guess, Liverpool -0
Endelea kuota Ila kumekucha tayari....Liva msimu kwa kundi lile la UCL sitashangaa mkija ueropa,
Maana yule kibonde kila mtu atakufa naye, shughuri ipo ,game ya 2 kwa psg hakuachi, napoli hakuachi
Karibuni europa
Let me guess, Liverpool -0
Mnavoconcede kizembe hvo... Mkipigwa chache ni 3Jumamosi wageni tutawachinjia jogoo.
Apparently all true Liverpool fans cares ,labda wale ma POPOMACorrect. Who cares?