nimeona kikosi, popote anapangwa nawatakia Liverpool ushindiLeo anaenda kati kukipiga na torreira,then kushoto.....
Of course fellow KOP, ukiwauliza beki yao wanayoikubali utasikia Rob Holding. Pale namuogopa Mesut Ozil labda na Ramsey maana wanajua
hapa kwanza Mabeki wao wasipande kupiga klosi kumfikia Lacazate,otherwise basi mabeki wao mechi zote walizoshinda walikua hawachezi kwa umakini...
Milner anatekeleza kila wajibu anaopewa kila wajib anaopewa so far na anafanya kiungo kuwa strong....ni creative sometimes ingawa sio kivile.Sio mchezaji wa kusema anaharibu ukizingatia recent performance.Alaf elewa fabinho hachezi namba moja na Milner Milner hapa ni kama box to box midfielder along side Gini .Fabinho ni no 6 na nadhani ndiye best holding we have.Milner anajua kucheza faulo flani hivi ambazo ni muhimu bila kupata kadi nyingi,hasa pale opponent anapotaka kufanya counter.Kwenye mashambulizi milner sio mzuri kama xhaqiri na kazi ya milner mtu kama Gini au Fab wanaweza ifanya kwa ufasaha tu...
Kumbuka PSG na kipeperushi chao huko wamechapisha habari ili kumjaza upepo fabinho so inabidi apangwe vinginevyo jamaa ataingia king
Leo Kwa Klopp sina Cha Kulaumu Kwa Line Up hii...
Kwakweli hii Kwa kikosi chetu ni Strong Line Up..
Kushinda au Kupoteza itategemea na Watakavyoperform pamoja na game plan ya Wapinzani wetu.
Kwa game ya leo hata point 1 ya sare naridhika nayo.
Leo Liverpool mnatafuta draw?
Fabinho hayupo mchezoni.
Clyne afanyiwe rotation coz Trent sio mzuri defensively