Lecheminduroi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 1,183
- 3,593
Lallana hutokuja kumuelewa mkuu... huyo kazi yake kupiga vyenga na kuchelewesha mashambulizi, angalia baada ya yeye kutoka shaqiri anaendana na speed ya front three yetu kama ChamboUzuri Gomez huwa anacover makosa baadhi ya VVD kwenye mipira ya chini, na nafasi za tackling anazifanya yeye kwa ufanisi.
Mpaka jana nikatamani angekuwepo labda angeweza kuucheza yeye ule mpira (though goli lingeweza kuingia vilevile).
Mimi kutokuwepo Henderson jana kulinipa amani sana, ila Lallana nimeshindwa kumwelewa, naendelea kukaa kimya kwanza.
