Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mwenye taarifa zaidi kuhusiana na hii kitu
IMG-20181101-WA0005.jpg
 
Hahah..

Mchezaji kutoka liverpool kwenda manure au kutoka manure kuja Liverpool ni ngumu zaidi ya LIONEL MESSI kusajiliwa na YANGA..

Afu ni Daily mail hao, ni kama Express vile amabao bado wanang'ang'ania ishu ya Shaqir to LFC mpaka leo...

So relax bro Tores..


Sasa nimeanza kuzitilia nguvu habari za media hizi
 
Dogo Mateo Guendouzzi alikula kadi nyekundu jana kwenye Carabao, so will he be playing versus LFC this Saturday?
 
Anacheza kama kawaida adhabu anaitumikia kule alipoipatia tu so atamis game ya spurz ya robo fainali
Dogo Mateo Guendouzzi alikula kadi nyekundu jana kwenye Carabao, so will he be playing versus LFC this Saturday?
 
Anacheza kama kawaida adhabu anaitumikia kule alipoipatia tu so atamis game ya spurz ya robo fainali
Hahahahaha Sheria zimeshabadilika tangu last season mashindano yote yaliyochini ya FA ukipata RED CARD ina apply kwenye all competitions ya FA kuanzia Carabao cup. FA cup mpaka Premier league.
 
Sio kweli


Cheers aisee

Huyo dogo ni shida linapokuja suala la kukata umeme, Hazard huwa inahitajika watu wawili kumkaba ila kwa nilivyomcheki huyo Gouendouzzi ile mechi ya CFC vs Arsenal pale darajani nasema hivii dogo Goundouzzi anaweza/anatosha kumkaba Hazard akiwa alone!
 
Cheers aisee

Huyo dogo ni shida linapokuja suala la kukata umeme, Hazard huwa inahitajika watu wawili kumkaba ila kwa nilivyomcheki huyo Gouendouzzi ile mechi ya CFC vs Arsenal pale darajani nasema hivii dogo Goundouzzi anaweza/anatosha kumkaba Hazard akiwa alone!
Kwanini usiseme anaweza kumkaba Salah?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom