Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Nilichokiona kwa majogoo hayataki atakayechukua kombe la epl achukue kiboyaboya
Sasa sisi si Munatuita Ni Wabovu tena tutawezaje kuwazuia Musichukue Kombe Kiboyaboya?
Nilichokiona kwa majogoo hayataki atakayechukua kombe la epl achukue kiboyaboya
Pumzi itakata tuSasa sisi si Munatuita Ni Wabovu tena tutawezaje kuwazuia Musichukue Kombe Kiboyaboya?
Si ndio ..wanajitahidi kuhakikisha wanaleta changamoto.Nilichokiona kwa majogoo hayataki atakayechukua kombe la epl achukue kiboyaboya
Pumzi itakata tu
mafan wa chelshit wanakimbia Uzi wao wanakuja kusumbua huku haha ule Uzi wao hawajui kuchambua mpira hata punje naonaga kuna jamaa anacopy na kupest tu huko kwenye source nyingine na pia hatoi ufafanuzi
Kwahiyo wana LFCtunawapa hifadhi tu huku maana Uzi wao upo borred
YNWA
Haha Ndio Kuna jamaa huyo hapo ollachuga sjui hata wachezaji wake hawajuicoz yuko busy kumfuatilia Salah kuliko hata wachezaji wake
- Yaan chelshit fan muda mwing wapo humu sijui Uzi wao VP huko
Huyo Jamaa Ninamfananisha na Mshabiki mwenzetu mmoja humu ambaye wamefanana kwa kila kitu kile wanachokiandika
Kuna na Aaron wa arsenal
Wao Kwenye Uzi wao Hawachambui Chochote Manake Hakuna Hata Mmoja Anayeijua timu yake au Kuujua Mpira! Kwahiyo Huishia Kujisifu na Sarriball tu na Magoli ya Hazard.
Kuna Yule Jamaa anaejiita Jasho La Kuku yeye Hajawahi Kutoa Wazo lake kuhusu Mwenendo Wa Timu bali Huishia Kwenda Twitter na Kucopy Quotes za Kocha na Wachambuzi na Kuja Kupost Kwa Rant Boys wenziwe.
Kwahiyo lazima waishie kurandaranda Kwenye Nyuzi za Watu ili wajifunze Namna ya Watu Wanavyoongolea Madhaifu na Maboresho ya Timu zao na Namna Kuuzungumzia Mpira kitactics zaidi.
Mpaka sasa ukiniuliza mwisho wa hizi mbio Liverpool atakuwa na chochote cha kujivunia nakuwa na mashaka makubwaMulianza na Nyimbo ya September is coming...
Mukaja October is coming...
Now badala ya kuingia kwenye Nyimbo mpya ya November is coming mumeanza kuja na Mipasho ya Mbio za sakafuni?
Kwa hiyo mimi kuja kuleta statistics za Klopp 3 years hana EPL ni vumbi na hug na vicheko ndo anavyo. Kuna kosa?
Hakuna cha kuboa mkuu hata wewe unakaribishwa kuleinaonekana uzii wa the blues upo so boring maana hua hamkauki hapa na leo ngumu kumeza ila twaongoza ligi bwana Mangi...
Sarri atatwaa kombe msimu huu huku kloop akiendelea kuhangaika tuHuu uliozungumza Kuwa Klopp Hajashinda Chochote Kwenye Miaka Mitatu aliyokaa Liverpool ni Ukweli Mtupu wala Haupingiki!!!
Lakini usiishie hapa tu Ungemalizia na kuwa Sarri Hajawahi Kushinda Chochote Ndani Ya Miaka yake 67 aliyoishi. Nadhani hapo ingependeza zaidi kuwa hukufanya Biase yoyote.
√ Mmoja hajashinda Miaka 3
√ Mmoja hajashinda Miaka 67
Ngoma draw
Hakuna cha kuboa mkuu hata wewe unakaribishwa kule
Sisi huwa tunapita kuwajulia hali tu
Shona tulia sasa kama unazungumzia wakati ujaoSarri atatwaa kombe msimu huu huku kloop akiendelea kuhangaika tu