Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Yeye ndo alijitahid kuleta competition kwa Juventus. Napoli ile imesimama vile kwa sababu yake mpaka wachezaji wanamsifu kina Allan na Koulibally. Msimu uliopita unakumbuka nadhan alivyopunguza gap. Ila me nataka tuhesabu miezi yake miwili pale Chelsea na philosophy yake inavyoenda vizuri. Ameichukua timu kutoka kwa kocha mwenye philosophy ya kukaba Conte
Kocha wako Sarri ameshafikia umri wa kustaafu hana hata kikombe cha kahawa.

kama Mourinho
 
Kwa hiyo mimi kuja kuleta statistics za Klopp 3 years hana EPL ni vumbi na hug na vicheko ndo anavyo. Kuna kosa?
CV ya kocha wako nini zaidi ya uvutaji wa sigara utadhani alizaliwa Tabor a kwenye mashamba ya Tumbaku
 
Yeye ndo alijitahid kuleta competition kwa Juventus. Napoli ile imesimama vile kwa sababu yake mpaka wachezaji wanamsifu kina Allan na Koulibally. Msimu uliopita unakumbuka nadhan alivyopunguza gap. Ila me nataka tuhesabu miezi yake miwili pale Chelsea na philosophy yake inavyoenda vizuri. Ameichukua timu kutoka kwa kocha mwenye philosophy ya kukaba Conte


kama Mourinho
Ameshinda kombe gani? Acha,story
 
Yeye ndo alijitahid kuleta competition kwa Juventus. Napoli ile imesimama vile kwa sababu yake mpaka wachezaji wanamsifu kina Allan na Koulibally. Msimu uliopita unakumbuka nadhan alivyopunguza gap. Ila me nataka tuhesabu miezi yake miwili pale Chelsea na philosophy yake inavyoenda vizuri. Ameichukua timu kutoka kwa kocha mwenye philosophy ya kukaba Conte


kama Mourinho
Alijitahidi kuleta competition kwa Juve.......... kwa akili yako kabisa unahesabu haya ni Mafanikio ya Kocha.
 
Najua hufuatilii ile ligi ndo maana ngoja nkae kimya. Ungejua Historia ya kule tungeongea na ungenielewa.
Alijitahidi kuleta competition kwa Juve.......... kwa akili yako kabisa unahesabu haya ni Mafanikio ya Kocha.
 
Washabiki bhana! Eti Wanasema Moreno an gundu (Cursed)... 😀😀😀

Mechi Yake Ya Kwanza Kuanza ya EPL ndiyo iliyovunja Rekodi ya Liverpool Ya Kuto Kufungwa Goli lolote Kwenye EPL kwenye uwanja Wa Anfield tokea February...
 
Dwarf Man Xhaq....

• Kaplay dhidi ya Red star, Tumemla 4
• Kaplay dhidi ya Cardiff, Tumemla 4

Kinachonipendeza Ni Kitu Kimoja tu Kutoka Kwake!!!
Akipata Mpira tu Haangalii Nyuma wala Pembeni Bali Anaelekea Kwenye Mashambulizi moja kwa moja... That is why front 3 wanaanza kucheka Na Nyavu..
Xhaq yuko Faster sana kwenye Kuattack.
 
Dah! Goli tuliloconcede limeniuma sana.. Hatukustahiki Kuconcede kwenye hii game.
Washabiki bhana! Eti Wanasema Moreno an gundu (Cursed)... 😀😀😀

Mechi Yake Ya Kwanza Kuanza ya EPL ndiyo iliyovunja Rekodi ya Liverpool Ya Kuto Kufungwa Goli lolote Kwenye EPL kwenye uwanja Wa Anfield tokea February...

Hahaha, ila kabla ya goli kuingia tulikuwa so relaxed, kama vile tunajua hatuwezi kufungwa kabisa.

Baada ya kufungwa ndo tukaanza kukaza.

Toka msimu umeanza nimeona kwamba hatuchezi kwa umakini mkubwa tunapokutana na hizi mediocre teams, ila tukicheza big games tunakuwa makini sana.

Mfano nikiangalia performance vs Tottenham, PSG, Man City na Chelsea ni games tumecheza vizuri sana kupita tunavyocheza na vibonde.

Nadhani kuna umuhimu wa kutodharau mechi ili tuweze kutengeneza magoli mengi na kusecure game mapema.
 
Klopp amenesha some trusts katika mfumo Wa 4-2-3-1 naona game ya pili mfululizo (vs Red Star & Cardiff) ameamua kuutumia.
Na game zote hizo tumeshinda goli 4 na 4.
Huu mfumo sio Rafiki Sana Kwa Firmino Coz Jana ulimficha sana.
But Ni Rafiki kwa Salah, Gini, Faby na Xhaqiri.
Ni wazi Kuwa Mfumo Wa 4-3-3 ndiyo rafiki kwa Firmino lakini si rafiki tena Kwa Salah.
 
Hahaha, ila kabla ya goli kuingia tulikuwa so relaxed, kama vile tunajua hatuwezi kufungwa kabisa.

Baada ya kufungwa ndo tukaanza kukaza.

Toka msimu umeanza nimeona kwamba hatuchezi kwa umakini mkubwa tunapokutana na hizi mediocre teams, ila tukicheza big games tunakuwa makini sana.

Mfano nikiangalia performance vs Tottenham, PSG, Man City na Chelsea ni games tumecheza vizuri sana kupita tunavyocheza na vibonde.

Nadhani kuna umuhimu wa kutodharau mechi ili tuweze kutengeneza magoli mengi na kusecure game mapema.

Tatizo hilo la Kudharau Game vs Vibonde so Kwa Timu tu Hata sisi washabiki tumeshakuaa hivyo Kwani Mimi Akikaa VVD-Gomez kwenye CB basi tukicheza na Kibonde huwa ninajiamini Kwa 100% kuwa Hawaingizi goli Hata la kubahatisha.
Kwahiyo naona kama tunapiga mazoezi tu.
Unajuwa defence nzuri inakufanya ujiamini!!!
Lakini akicheza Lovren tu basi sina amani Kwa dakika zote 90+ manake nahisi muda wowote goli litaingia golini kwetu.
 
Tatizo hilo la Kudharau Game vs Vibonde so Kwa Timu tu Hata sisi washabiki tumeshakuaa hivyo Kwani Mimi Akikaa VVD-Gomez kwenye CB basi tukicheza na Kibonde huwa ninajiamini Kwa 100% kuwa Hawaingizi goli Hata la kubahatisha.
Kwahiyo naona kama tunapiga mazoezi tu.
Unajuwa defence nzuri inakufanya ujiamini!!!
Lakini akicheza Lovren tu basi sina amani Kwa dakika zote 90+ manake nahisi muda wowote goli litaingia golini kwetu.

Uzuri Gomez huwa anacover makosa baadhi ya VVD kwenye mipira ya chini, na nafasi za tackling anazifanya yeye kwa ufanisi.

Mpaka jana nikatamani angekuwepo labda angeweza kuucheza yeye ule mpira (though goli lingeweza kuingia vilevile).

Mimi kutokuwepo Henderson jana kulinipa amani sana, ila Lallana nimeshindwa kumwelewa, naendelea kukaa kimya kwanza.
 
Hahaha, ila kabla ya goli kuingia tulikuwa so relaxed, kama vile tunajua hatuwezi kufungwa kabisa.

Baada ya kufungwa ndo tukaanza kukaza.

Toka msimu umeanza nimeona kwamba hatuchezi kwa umakini mkubwa tunapokutana na hizi mediocre teams, ila tukicheza big games tunakuwa makini sana.

Mfano nikiangalia performance vs Tottenham, PSG, Man City na Chelsea ni games tumecheza vizuri sana kupita tunavyocheza na vibonde.

Nadhani kuna umuhimu wa kutodharau mechi ili tuweze kutengeneza magoli mengi na kusecure game mapema.
Jana sub ya Firmino ndio ilitaka iharibu gemu, Cardiff wakafanya sub mbili za fasta waliingiza washambuliaji goli wakaipata!!



Nae Klopp kuona hivyo akamuinua sturidge haraka lakini goli ya tatu ikafanya sub isifanyike
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom