Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa Liverpool hii mbovu sioni ikichomoka mbele ya man city
Hakuna namna mtaepuka kipigo cha kwanza cha EPL Baada ya kile cha napoli
 
Moja kati sifa za kocha mzuri ni pamoja na kujua who and when to substitute a player , naona kwa hili Klopp bado anakosea sana. Ukiachilia mbali kutofunga pia mchango wa Salah kwenye timu ni mdogo sana .Next match vs City tutaona kama Klopp anajifunza kutokana na makosa
Naunga mkono, jamaa kwnye sub huwa anabugi sanaaa
 
Umemfunga Zinduna ya Lithunia kwa bao la Morata dakika ya 71 NDIYO unamcheka Liverpool kufungwa na Napoli?
Give me a break aisee
Wewe unataka kuifanya chai iwe Coca. Acha kulinganisha mambo kila mechi inaenda na plan yake. Nimeifunga hiyo timu dkk za mwisho ndio lakini uliangalia mchezo mzima uluvyoenda, uliangalia kikosi kilichpangwa.? Unajua game plan yake kwa kuangalia kikosi.? Wewe game yako na Napoli umeonyesha uchovu na keshindwa toka mwanzo mpaka mwisho na ndio maana tunasema Man City anaweza kukupa tabu sana.
Kuichukia Liverpool hii utapata sana taabu na utakonda!
Sasa kama unaiona Liverpool ni mbaya kwa kufungwa na Napoli lkn huioni Man City mbaya iliyofungwa na trash Lyon kwake?
Man City hawezi nifunga Anfield,forget about that
 
Wewe unataka kuifanya chai iwe Coca. Acha kulinganisha mambo kila mechi inaenda na plan yake. Nimeifunga hiyo timu dkk za mwisho ndio lakini uliangalia mchezo mzima uluvyoenda, uliangalia kikosi kilichpangwa.? Unajua game plan yake kwa kuangalia kikosi.? Wewe game yako na Napoli umeonyesha uchovu na keshindwa toka mwanzo mpaka mwisho na ndio maana tunasema Man City anaweza kukupa tabu sana.
Mchezo mzima ndiyo nn?
Tunahesabu matokeo sio pasi na chenga kaka
Zinduna kweli ndiyo wakusubiri hadi dakika ya 71?Yule Zinduna?Tena kwako?
Acha utani mkuu hauna team bado
Yule Anfield anapigwa 8-0,mechi inaisha dakika ya 20 tu
 
Izo za marudiano unaweza shinda moja tu.

#Alhamisi_inakuhusu.
Tukicheza na nyie tabu tukicheza na wengine tabu vilevile, kwanini hamtulii na timu yenu?:au ndio blaza nipigie? Kwako kuna sherehe lakini kutwa kucha kuhangaika na sherehe za watu, sasa hamieni man city maana kila
 
Kuichukia Liverpool hii utapata sana taabu na utakonda!
Sasa kama unaiona Liverpool ni mbaya kwa kufungwa na Napoli lkn huioni Man City mbaya iliyofungwa na trash Lyon kwake?
Man City hawezi nifunga Anfield,forget about that
Umefungwa na Chelsea seuze City
 
Mchezo mzima ndiyo nn?
Tunahesabu matokeo sio pasi na chenga kaka
Zinduna kweli ndiyo wakusubiri hadi dakika ya 71?Yule Zinduna?Tena kwako?
Acha utani mkuu hauna team bado
Yule Anfield anapigwa 8-0,mechi inaisha dakika ya 20 tu
Sisi tunamefunga zinduna ata km goli moja na wewe imekuaje huko?

Wamekuchapa
 
no panicking fellow Reds.

kwenye group stage msimu uliopita hata R Madrid alikung'utwa 3-1 na Spurs. sote tunajua kilichotokea come May 2018.

after all, tupo nafasi ya 2 kwenye group letu.

ninahisi Klopp aliwa instruct vijana wake wa conserve energy kwa ajili ya Sunday showdown vs Man City. criticism yangu kwake ni kufanya substitution very late and incorrectly bila kuzingatia flow ya game.
am sure na yeye hili atakuwa ameliona.
Angewaanzisha akina sturrge
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom