Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
zipo pointi na ligi twaongoza...Tunahitaji point 3 sio vinginevyo
We go Again
zipo pointi na ligi twaongoza...Tunahitaji point 3 sio vinginevyo
We go Again
Surely. Hata kwa Shaq ni one of the most bargain we have ever made.
future inafurahisha itakua Keita Fabi na Gini....full nondoFabihno mzuri sana
Akipona na Keita Liverpool tutatisha sana kati
Kwa kweli Klopp katengeneza team
Dream team
Surely. Hata kwa Shaq ni one of the most bargain we have ever made.
impact yake kufika fainali ni mpaka kusajili wachezaji wanakuja wenyewe bila kuwabebeleza...Chamberlin aliwakataa...Shaqir hakufikilia mara mbili, VD nae aliwakataa n.k...Sikufika kwa sababu nilitolewa.
Wewe uliyefika ulichukua nini?
Mshindi wa pili???! Haha...
aaaa the gooners kwao, have watched couple of thier games na wanashambulia mpaka mabeki na kuacha defence yao ikiwa kind of open...kama watacheza vile aaaa tutawapiga mengiiii...hope hio game this players il turn up thier perfomance iwe shwariiiiiiiiInauma sana lkn ni deflection huwezi fanya lolote
Next game na Arsenal
Insha'Allah tutafanya vyema!
Hongereni sana wakuu lakini msisahau kale kamsemo ka kale kanakosema mbio za sakafuni huishia ukingoni
Inakera sana hii hata kuiwaza tu.Still Captain Wetu Akipona Soccer Management itamrejesha uwanjani na Kumrudisha Fabinho Kwenye Bench.
The smile on his face is gradually coming back.. MOTM performance from Salah today.Kinachonifurahisha zaidi Ni kuwa Salah anarudi kwenye form
Hawajui haya mambo ni one step at a time. Uki slip ukajidai nitajipanga ndio ushaachwa wenzio wanapeta tuMulianza na Nyimbo ya September is coming...
Mukaja October is coming...
Now badala ya kuingia kwenye Nyimbo mpya ya November is coming mumeanza kuja na Mipasho ya Mbio za sakafuni?
And now #Unai_isComing..Mulianza na Nyimbo ya September is coming...
Mukaja October is coming...
Now badala ya kuingia kwenye Nyimbo mpya ya November is coming mumeanza kuja na Mipasho ya Mbio za sakafuni?
Let's hope ni kwa gemu ya leo tu. Lallana ni deadwood, same to Henderson. Lallana leo alikuwa headless chicken.Ingawa tunaambiwa Kuwa Klopp anajuwa Soccer Management kuliko sisi lakini Napata Ukakasi kuona Lallana anaanza ahead of Xhaqiri.
watu wengine bhana ila ndio ushabiki kwenye ishu ya historia ya liver kwenye vikombe before 1990 mnasema history doesn't matter ila kwa klopp na unai now history is matter why dont you be consistenceAnd now #Unai_isComing..
Ukumbuke Klopp ana historia mbaya SANA kwa Emery Unai. Hajawahi kushinda!
#Unai_isComing.
inaonekana uzii wa the blues upo so boring maana hua hamkauki hapa na leo ngumu kumeza ila twaongoza ligi bwana Mangi...Hongereni sana wakuu lakini msisahau kale kamsemo ka kale kanakosema mbio za sakafuni huishia ukingoni
sub msimu huu hajatuzingua sanaaa na kipindi kile Solanke alikua anaingia maana benchi ya sub haikua kama sasa hivi....ila my fellow liverpool fans leo kwenye sub klopp kajitahidi maana sometimes anazinguaga ungeshangaa angemtoa fabinho na kumuingiza solanke