Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

hawa mkuu wala achana nao ni Les Blu kila wakiwanga watuuu haooo pointi 3 kibindoni....
huyo Unai baada ya dakika 90+ pointi zitaodoka na timu ya ugenini...

watu wengine bhana ila ndio ushabiki kwenye ishu ya historia ya liver kwenye vikombe before 1990 mnasema history doesn't matter ila kwa klopp na unai now history is matter why dont you be consistence
 
Sub ya Milner kwa Firmino kazingua labda kwasababu tumecheza na Cardiff madhara yake atujaona



Asijaribu huu upuuzi kwenye gemu kama ya Napoli au City tunaeza shtuka tupo mortuary siku hiyo
kwa mimi nilivyoona leo bobby alikuwa mpole mno labda ndio maana akamtoa ili shaqiri asogee mbele kidogo
 
Hii Stats imekaa vyema... Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha....

√ Fabinho won 9 tackles vs Red Star Belgrade.

√ Jordan Henderson won 4 tackles vs PSG and Napoli combined.
 
The crazy thing is, we still have Chamberlain to come into this team, and we all know how well he and Salah links up exciting times are still ahead

IMG_5602.JPG
IMG_5603.JPG
 
Still Captain Wetu Akipona Soccer Management itamrejesha uwanjani na Kumrudisha Fabinho Kwenye Bench.

Wengi wanahisi hapa wao wanawajua wachezaji wa Liverpool kuliko Klopp!
Dude huyu Klopp ndiyo anashinda na hawa wachezaji day in day out wewe huwezi ukawa unajua nani acheze lini kuliko Klopp!
Akipona Hendo akimpa na Fabihno akienda benchi nitamuunga mkono Klopp sababu he knows better than me!
Wewe ni nani upinge nani acheze akiamua Klopp anayekaa nao mazoezini?
 
Ingawa tunaambiwa Kuwa Klopp anajuwa Soccer Management kuliko sisi lakini Napata Ukakasi kuona Lallana anaanza ahead of Xhaqiri.

Mwchi gani kaanza Lallana mbele ya Shaqir zaisi ya jana?
Kocha anayekaa na wachezaji ndiyo anajua nani aanze nani awe benchi
Klopp anajua soka menejiment mara elfu 10 zaidi yetu
 
Wengi wanahisi hapa wao wanawajua wachezaji wa Liverpool kuliko Klopp!
Dude huyu Klopp ndiyo anashinda na hawa wachezaji day in day out wewe huwezi ukawa unajua nani acheze lini kuliko Klopp!
Akipona Hendo akimpa na Fabihno akienda benchi nitamuunga mkono Klopp sababu he knows better than me!
Wewe ni nani upinge nani acheze akiamua Klopp anayekaa nao mazoezini?
Nakuunga mguu aiseeee
 
Liverpool sasa mchezaji yoyote yule anaupiga tu na yoyote analeta matokeo, uzuri ni kwamba Liverpool ya sasa haishindi kwa kubahatisha, magoli yote yanafungwa kwa mipango na kwa hakika
Mwchi gani kaanza Lallana mbele ya Shaqir zaisi ya jana?
Kocha anayekaa na wachezaji ndiyo anajua nani aanze nani awe benchi
Klopp anajua soka menejiment mara elfu 10 zaidi yetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom