ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,056
Ucijali mkuu...ndiyo matokeo ya mpira.Tumefungwa Kwa Ubovu Wetu No Excuse
Ucijali mkuu...ndiyo matokeo ya mpira.Tumefungwa Kwa Ubovu Wetu No Excuse
Lukub. Alitoa koment kuwa liver wanacheza kwa kuvizia... Napoli anacheza mpira mwingi...naona ulimvaa kweli kweli.Yani Katika Siku Tuliyocheza Vibaya Zaidi ya Vibaya basi Ni Leo! Ndani Ya Dakika 90' hatujapiga ON TARGET Hata moja.
Kinachomata ni ushindi tu haizalishi umeshinda muda gani.Ndiyo soka,Napoli walikuwa wazuri sana uwanjani zaidi yetu
Tumefungwa pia bao dakika za mwisho sana
Hakukuwa na muda wa ku respond
Tunarudi nyumbani Anfield kwa mechi ya Jumapili
WE WILL BOUNCE BACK
Pole mkuu. VIP Hali yako lakiniWakuu mimi mtaniacha nakesha hapa. Nimeumia sana sidhani kama leo nitapata usingizi. Kufungwa dk ya 90 kumeniuma sana.
Mkuu king Gwaba. Nafikiri ni kwa sababu ya timu pinzani...front 3 yenu ni fire. Ila Mambo huwa yanabadilika uwanjani.Na Tusiwe Wabishi Jamani Mapenzi Ya Timu Yasiwatie Watu Upofu! Ukweli Ni Kwamba Front 3 yetu imekwisha! Tunailazimisha tu na Kuipa Sifa isizosatahiki lakini ukweli Ni Kwamba Hawawezi Kuscore Hata Kwa Mademu Zao.
Hivi Washambuliaji gani Wanatoka na 0 on target Kwa Dakika 90 nzima.
Khe khe khe khe khe khe khe khe kheLeo mtasema timu mbovu
Kesho mkishinda timu yetu imekamilika hamtuwezi
Tukutane Anfield Tar 7







. Umeua bendi timu ikifunga imekamilika ikifungwa mbovu. Khe khe khe khe




Futuhi Tena wakati UCL ni yenu mnasubiri kutawazwa tu... according to malafyale na king Gwaba voice.Naona Kama FUTUHI inatusubiri.
Sawa sawa...ila angalia husije ukalalia 5 bila Kama last seasonSijaiona Liverpool ikicheza hovyo hivi kwa muda mrefu sana
Lkn Jumapili tuna bounce back
Wakumbushe mkuu. Maana kila siku nawaambia hawaelewiWakuu poleni kwa kutobolewa. Mpira unachezwa uwanjani siyo JF
Wakumbushe..southern HighlandNyie haya makombe ya mbuzi si size yenu. Komaeni na makombe ya wakubwa wenzenu. The so called MICKEY MOUSE CUP are ain't on your level anymore.
Better not even think about that big fella.
Unamuonea. Shida ni klop.Game ya leo imenifanya nimchukie henderson sana!! alivoingia ndo akaharibu game kabisa...
Its high time now!! wamvue u captain kabisa
(To me) he is useless!!
Juzi Kati walikuwa wana mlinganisha Mane na Hazard...then Salah na Mesi.One season wonder. Salah
Matokeo yenu tunayooooo!Mashabiki wa Arsenal, Chelsea na Man U wamefunguliwa midomo leo ajabu, yaani utazani michuano imeisha jana wakati ndo kwaaaanza ligi imechanganya na kuna marudiano, acheni uzwazwa komaeni na vitimu vyenu ambavyo mnapambana kuvikwamua kutoka kwenye matope
Wanajificha kwenye mchicha aiseeKhe khe khe khe khe khe kheeeeeee
Sturridge alitakiwa aingie dk ya 50 tu, Salah akae bench ajitathmini upya. Maamuzi mabovu ya Klopp, na mchezo mbaya especially kiungo na the front three ndiyo vimetuuwa leo.
Tulikuwa hovyo sana!
Dah, washabiki sio watu kabisa, yaani kupoteza kamechi kamoja tu mmeshambadilikia Klop, Ni matokeo tu lakini bado mnachance kubwa sana ya kuprogress.Kabisa!
Kumbe walivyosema Buvac ni brain ya Klopp ni sahihi aisee...yaani we have become a completely different team from that of last season!