Nashindwa kuelewa mbona ligi ya EPL ni ligi bora zaidi kwanini UEFA timu hizi zinasuasua
Liverpool FC imekumbwa na upepo wa wachezaji kuwa kwenye viwango vibovu, toka ligi imeanza, na kupelekea timu kupata matokeo ya kibahati bahati.
Kwa mfano, kuna kauli za:-
1. Cha muhimu tumepata point 3
2. Tungecheza vizuri tungepata hata magoli 4
3. We are winning ugly, etc.
Hapo kunaonesha kuna tatizo kubwa, toka msimu umeanza, ni game ya PSG peke yake nimeona Liverpool ikicheza mchezo ambao kwangu ni A+ rated, game ya Tottenham ilikuwa B+ (it could have resulted into a draw had referee offered that penalty, we had a chance to seal the game before and we didn't).
Game tuliyo draw na Chelsea fowardline zilikuwa usingizini, na lile goli la Sturridge ilikuwa ni uwezo binafsi, siyo game plan, game ilikuwa inapotea bila goli.
Liverpool tulitegemea kipindi hiki ambapo defence iko sold tuwe na margin nzuri ya magoli lakini katikati ni kubovu, mbele ni kubovu.