Kupoteza mechi moja ugenini ndiyo hana alternative?Klopp hana alternative approach kabisa
Wasenge week hii tuwakate mishahara.Na Tusiwe Wabishi Jamani Mapenzi Ya Timu Yasiwatie Watu Upofu! Ukweli Ni Kwamba Front 3 yetu imekwisha! Tunailazimisha tu na Kuipa Sifa isizosatahiki lakini ukweli Ni Kwamba Hawawezi Kuscore Hata Kwa Mademu Zao.
Hivi Washambuliaji gani Wanatoka na 0 on target Kwa Dakika 90 nzima.
Kwa mtazamo wako labdaKupoteza mechi moja ugenini ndiyo hana alternative?
Endelea na mpira wa kuvizia na kutegemea bahati Spurs ana miliki mpira hupi? Zinapigwa one two wanakaba kwa macho ntarudi tena baada ya gemu ya city😂😂😂😂 mpira wa kuvizia hauna nafasi ukimbie kimbie halafu ushinde.unashinda spurs hayupo Hugo na dele alafu unatambaUchambuzi wa kitoto kabisa
Eti sababu huyu hayupo!
Napoli kashinda kwake,kuna ubaya gani?
Nani alikuwa majerhi SPURS alivyo pigwa?Au wao Spurs hawamiliki mpira?
Uchambuzi wa hovyo sana
Tatizo sio kufungwa ugenini............ Front three yetu inahitaji New alternative approach hii imeshafeli kabisa unacheza Dk 90 bila Short on target huoni ni tatizo hili.Kupoteza mechi moja ugenini ndiyo hana alternative?
Fekir, Javier Pastore.....na namba 9 mmoja matata sana. Salah hamna kituIn the absence of OX, we really need to get FEKIR or Ramsey
duu kweli mlitega itokee hivi muanze kicheko sidhani kama kuna shabiki wa Liverpool aliesema tutamaliza msimu bila kufungwo...😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 endelea kusubiri embe kwenye mnazi jiandae na kipigo kingine kutoka kwa city mbinu zenu za kukimbia hovyo watu wamezijua unapigiwa moja moja
SalaamTatizo sio kufungwa ugenini............ Front three yetu inahitaji New alternative approach hii imeshafeli kabisa unacheza Dk 90 bila Short on target huoni ni tatizo hili.
Game ya leo imenifanya nimchukie henderson sana!! alivoingia ndo akaharibu game kabisa...
Its high time now!! wamvue u captain kabisa
(To me) he is useless!!
Salah anacheza ovyo mpaka unamtaman yule winger wa Crystal palace (Zaha)Kwanza niseme wazi kuwa leo timu imecheza hovyo hovyo balaa, yaani it was extremely poor performance.
Pili niseme wazi kuwa Klopp leo maamuzi yake hayakuwa sahihi hata kidogo, especially baada ya kipindi cha pili kuanza. Mtu kama Salah hakutakiwa kurudi kipindi cha pili, ilitakiwa nafasi yake ichukuliwe na Shaqiri. Pia Firmino ndiyo angetoka nafasi yake aingie Sturridge. Kitendo cha kusubiria mpaka dakika ya 88 ndiyo unamuingiza Sturridge ni upuuzi. Mimi siyo kocha lakini niliona mapungufu ya wazi kabisa, nashangaa yeye Klopp kwa nini hakuyaona hayo.
Tatu niseme wazi kuwa mchezaji kama James Milner kwa umri wake na mechi zote anacheza siyo sahihi, ni wakati sasa wa Fabinho kuanza kucheza. Last season hatukuwa na depth kwenye squad yetu kwahiyo it was understandable wachezaji hao hao kucheza daily, this season Klopp afanye rotation ya akili.
Nne niseme wazi kuwa kwenye timu yetu kuna wachezaji washajua wao ni a must first eleven players, kwahiyo wameanza kubweteka...kocha afanye kazi yake hapo.
Mwisho niwapongeze Napoli although walitakiwa watupige kama nne hivi, maana leo tulikuwa hovyo sana!
Tukiendelea kucheza hivi tumekwisha, tutakuwa tunapigwa za kutosha.