Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,152
- 10,682
Liverpool needs buvac backLiverpool inahitaji change particularly with our front 3 .from 3 haina sharp wote wako out of form.
Liverpool needs buvac backLiverpool inahitaji change particularly with our front 3 .from 3 haina sharp wote wako out of form.
Na Sab ya Stirridge haikupaswa Kufanyika dakika ya 87 kwani Ni Vigumu Kuleta Impact moja kwa moja.
Alipaswa Kuingia dakika ya 75 kuchukua Nafasi ya Mo Salah.
Liverpool needs buvac back




























DahJe wajua David Ospina Kipa wa SSC Napoli kapiga pasi nyingi kuliko Salah, Fermino na Allison Bakari ukijumlisha..
Tuimbe Wote Napoli Huendi Mbinguni
Ila ukweli ndio huo huendi mbinguni,
Yan huo ndo ukweli huendi mbinguni![]()

Sio kweli mkuu. Tumeangalia mechi mkuuJe wajua David Ospina Kipa wa SSC Napoli kapiga pasi nyingi kuliko Salah, Fermino na Allison Bakari ukijumlisha..
Tuimbe Wote Napoli Huendi Mbinguni
Ila ukweli ndio huo huendi mbinguni,
Yan huo ndo ukweli huendi mbinguni![]()
Wewe kweli ni JASHO LA KUKU
PoleeeAnakufa kwao 2
Kwel mwepesiNapoli mwepesi tu. Pre season alikula tano bila
Kuna Watu Wanaoangalia Mpira na Wanaotolea Macho TV...
Mtu anawasifu Napoli wameupiga Mwingi Lakini Anashindwa Kuangalia Je Wamefanya Mashambulizi gani??
Mpaka HT Napoli wamelenga On Target Moja tu!! Lakini Still anakuja Mtu anasifu wanaupiga Mwingi....
Hivi Mpira Ni Pasi na Chenga Nyingi??? Jamani Possession haina Points..
Wacha Wao Waupige Mwingi, Sisi Tunatafuta Magoli.
Lala mkuu acha kuwanga kwenye uzi wetu.Mmeyapata magoli.
Wafia timu au siyoWakuu mimi mtaniacha nakesha hapa. Nimeumia sana sidhani kama leo nitapata usingizi. Kufungwa dk ya 90 kumeniuma sana.