Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hapa jogooo lazima anyonyolewe kwa mpira huu mbovu mnaocheza kupata nafasi mbili za juu ni ndoto
 
Hawa napoli mnaowaita wepesi wanaupiga mwingi zamani tuliuita mpira huu sex football Liverpool wanaviziavizia tu, tukutane baada ya dk 90 ,yamkini wakachoka mkawaangukia
 
Kuna Watu Wanaoangalia Mpira na Wanaotolea Macho TV...

Mtu anawasifu Napoli wameupiga Mwingi Lakini Anashindwa Kuangalia Je Wamefanya Mashambulizi gani??

Mpaka HT Napoli wamelenga On Target Moja tu!! Lakini Still anakuja Mtu anasifu wanaupiga Mwingi....

Hivi Mpira Ni Pasi na Chenga Nyingi??? Jamani Possession haina Points..

Wacha Wao Waupige Mwingi, Sisi Tunatafuta Magoli.
 
Hata Hivyo Front 3 yetu imeshakuwa Ni serious problem...
They are finished! They Canty shot accurately...
More Off target than on Target..
 
dah!! hii blunder tuliofanya leo, sitamani hata tuingie na second gear kwa game zetu tena!!
Turudishe Heavy metal tu hakuna namna
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom