😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 endelea kusubiri embe kwenye mnazi jiandae na kipigo kingine kutoka kwa city mbinu zenu za kukimbia hovyo watu wamezijua unapigiwa moja mojaKuna Watu Wanaoangalia Mpira na Wanaotolea Macho TV...
Mtu anawasifu Napoli wameupiga Mwingi Lakini Anashindwa Kuangalia Je Wamefanya Mashambulizi gani??
Mpaka HT Napoli wamelenga On Target Moja tu!! Lakini Still anakuja Mtu anasifu wanaupiga Mwingi....
Hivi Mpira Ni Pasi na Chenga Nyingi??? Jamani Possession haina Points..
Wacha Wao Waupige Mwingi, Sisi Tunatafuta Magoli.
ulisema wamefungwa na sassuolo😂😂😂😂😂😂😂 nani hayaogopi majogooo ?nikutaadhalishe city ulimuangukia msimu uliopita this time haufungi team inayomiliki mpira unless key player wawe injury mf psg isiyo na verrattiNdiyo soka,Napoli walikuwa wazuri sana uwanjani zaidi yetu
Tumefungwa pia bao dakika za mwisho sana
Hakukuwa na muda wa ku respond
Tunarudi nyumbani Anfield kwa mechi ya Jumapili
WE WILL BOUNCE BACK
Amna huko ndo hatuendi manake Napoli atamkalisha PSG lakini hawa Mane na Salah wajiangalie sana yani wamezembea kipindi ambacho sturidge na shaqiri wapo vizuri... Na hii mbinu ya kumvizia adui tumeshtukiwa sijui af nikifirikia weend tupo na Man City naona tuna kaanguko kidogoNaona Kama FUTUHI inatusubiri.
Hahaaa hata km n kuponda club sio kwa namna hiiGame tatu mfululizo looseful hawajashinda hata moja
Wasindikizaji kwenye haya mashindano ni liver

Uchambuzi wa kitoto kabisaulisema wamefungwa na sassuolo😂😂😂😂😂😂😂 nani hayaogopi majogooo ?nikutaadhalishe city ulimuangukia msimu uliopita this time haufungi team inayomiliki mpira unless key player wawe injury mf psg isiyo na verratti
Kuna Watu Wanaoangalia Mpira na Wanaotolea Macho TV...
Mtu anawasifu Napoli wameupiga Mwingi Lakini Anashindwa Kuangalia Je Wamefanya Mashambulizi gani??
Mpaka HT Napoli wamelenga On Target Moja tu!! Lakini Still anakuja Mtu anasifu wanaupiga Mwingi....
Hivi Mpira Ni Pasi na Chenga Nyingi??? Jamani Possession haina Points..
Wacha Wao Waupige Mwingi, Sisi Tunatafuta Magoli.