Rich Forever
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 467
- 469
Kila la heri mkuu.pole sana ndugu Traford kuna upepo umewakomalia hausomeki utawaachia lini all the best mrudi kwenye kiwango..
at tyms huhitaji kua bora mechi zote maana msimu uliopita kuna kipindi Liverpool ilikua na 75+ % posession na mechi aidha inaisha draw au kipigo..
msimu huu Klopp ameelewa kinachosemeka na kukupa pointi sio smart or heavy metal football mbali ni ushindi tu...
sasa hilo la tutafumuliwa bado ni mapema sana kusema ni kweli au la kwa sasa twachukua kujipanga mechi baada ya mechi...YNWA