Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

pole sana ndugu Traford kuna upepo umewakomalia hausomeki utawaachia lini all the best mrudi kwenye kiwango..
at tyms huhitaji kua bora mechi zote maana msimu uliopita kuna kipindi Liverpool ilikua na 75+ % posession na mechi aidha inaisha draw au kipigo..
msimu huu Klopp ameelewa kinachosemeka na kukupa pointi sio smart or heavy metal football mbali ni ushindi tu...
sasa hilo la tutafumuliwa bado ni mapema sana kusema ni kweli au la kwa sasa twachukua kujipanga mechi baada ya mechi...YNWA
Kila la heri mkuu.
 
Na Kwajana Niwe Mkweli Sijaona Kosa La Mignolet Kwa Magoli Yote Mawili.
• Goli la Kwanza Ni Uzembe Wa Mabeki Kutokuwa Na Hata Maarifa Ya Kukaba Set-Piece.
• Goli la Pili Ni Ufundi Wa Hazard tu uliopata Advantage Kutokana na Ubovu Wa Mabeki pia.
So, Mignolet deserves no Blame Kwa Hili.
 
Mpeni heshima yake
images(25).jpg
 
Na Kwajana Niwe Mkweli Sijaona Kosa La Mignolet Kwa Magoli Yote Mawili.
• Goli la Kwanza Ni Uzembe Wa Mabeki Kutokuwa Na Hata Maarifa Ya Kukaba Set-Piece.
• Goli la Pili Ni Ufundi Wa Hazard tu uliopata Advantage Kutokana na Ubovu Wa Mabeki pia.
So, Mignolet deserves no Blame Kwa Hili.
Hahahaa tuwasubiri vvd na Gomez jumamosi au sio king ngwaba
 
Ni wachezaji watatu tu walio anza leo ndiyo wataanza Jmos ambao ni Mane,Milner na Keita! Mashambulizi yanaongozwa na Dan?Liverpool gani hiyo?’liverpool yenye jina Loverpool utakutana nayo Jumamosi
Nakufunga easy kabisa!
In mou voice
 
Na Kwajana Niwe Mkweli Sijaona Kosa La Mignolet Kwa Magoli Yote Mawili.
• Goli la Kwanza Ni Uzembe Wa Mabeki Kutokuwa Na Hata Maarifa Ya Kukaba Set-Piece.
• Goli la Pili Ni Ufundi Wa Hazard tu uliopata Advantage Kutokana na Ubovu Wa Mabeki pia.
So, Mignolet deserves no Blame Kwa Hili.

Asante kwa ufafanuzi huu hasa juu ya Mignolet. Maana jana nimeangalia game yote sijaona kosa lake kuubwa la kumsema vibaya.


Pili, kwa mtazamo wangu, Clyne alicheza vizuri kuliko Shaqiri. Hili ni kwa kuangalia nafasi walizokuwa wanacheza.

Clyne kama beki wa kulia aliweza kumzuia Willian vilivyo na kupandisha mashambulizi.

Shaqiri kama mshambuliaji alishindwa kuleta effect yoyote kule mbele ukiacha dribble moja moja na kumuonea Christensen. Kwa Liverpool ya sasa, bado atabaki benchi tu nyuma ya kina Mane na Salah.
 
Jamani msiwe na wasiwasi
Wachezaji walio anza leo ni wawili tu ama watatu ndiyo wataanza Jumamosi
Liverpool hafungwi na Chelsea EPL
Msiwe na wasi wasi,hata jana Dan alikuwa anaimaliza ile mechi mapema kabisa
 
Usisahau Keppa, Alonso, Ludiger, Luiz, Joginho, Kante, Pedro, Hazard na Giroud hawakuanza. Kikosi kilikuwa na Azpillicueta, Kovacic na Willian kama first team playera
Leo zimecheza team B
Hamna lolote la maana
Jumamosi ni vikosi kamili vya team hiz na sioni popote kama Liverpool atafungwa,sijaona
 
Moreno na Mignolet! Mbona hujasemea kikosi cha Chelsea kuwa na Cabarello, Cahill, Christensen, Emerson, Moses, Barkley, Fabrigas?
Kwa vile kikosi B Liverpool kimefungwa na kikosi B cha Chelsea
Basi ndiyo hata vikosi kamili vikipambana basi aliyefungwa atafungwa tena?
Au point yako ni nn?
 
Asante kwa ufafanuzi huu hasa juu ya Mignolet. Maana jana nimeangalia game yote sijaona kosa lake kuubwa la kumsema vibaya.


Pili, kwa mtazamo wangu, Clyne alicheza vizuri kuliko Shaqiri. Hili ni kwa kuangalia nafasi walizokuwa wanacheza.

Clyne kama beki wa kulia aliweza kumzuia Willian vilivyo na kupandisha mashambulizi.

Shaqiri kama mshambuliaji alishindwa kuleta effect yoyote kule mbele ukiacha dribble moja moja na kumuonea Christensen. Kwa Liverpool ya sasa, bado atabaki benchi tu nyuma ya kina Mane na Salah.

Mimi Ni Mmoja Wa Fan Wakubwa Sana Wa Hazard na Jana Aliyekuwa Hajaamini Kuwa Hazard Ni Mmoja Wa Top Four Ya Best Player in The World (Messi, Ronaldo, Neymar Na Hazard) basi Huyo Si Mpenzi Wa Soccer Bali Ni Mshabiki Wa Chandimu.

Na nilimuona Zaidi Kuwa Ni World Class pale Alipousoma Mchezo Ndani Ya Dakika 5 Kuwa Upande Wa Kulia alipo Clyne Ni Tatizo Wakati yeye anacheza Wing ya Kushoto.. Kwahiyo Fast Kaswitch Kulia Baada Ya Kuona Upande Wa Kushoto Wa Liverpool Ni Uchochoro ambao Moses Kashindwa Kuutumia.
Kwahiyo Alienda Upande Wa Wing ya Kulia Kambirua Moreno Kafunga Goli baadae Karudi Kushoto Kupotezea Muda.
Sasa Ni World Class tu Ndiyo Kwenye Akili Kama Hizo za Kusoma Mchezo na Kuangalia Weakness ya Mpinzani ikoje.

Xhaqiri anadrible Vizuri lakini anakosea Kwenye Decision Making Pale Kwenye How and When to pass the ball kwa his teammate.
 
Leo nilikuja kufuata comment yako ya game

Asante kwa kukubali kipigo

Mimi Hii Ndiyo Kawaida Yangu Huwa Ninapofungwa Sina excuse Bali Nina accept kwa kilichotokea Uwanjani.

• Huwa kama Kuna tatizo la Kiuwamuzi (Bad referee decision) Basi siachi Kuelezea tatizo hilo... Lakini Kwa Jana sijaliona Tatizo hilo.
 
Mimi Ni Mmoja Wa Fan Wakubwa Sana Wa Hazard na Jana Aliyekuwa Hajaamini Kuwa Hazard Ni Mmoja Wa Top Four Ya Best Player in The World (Messi, Ronaldo, Neymar Na Hazard) basi Huyo Si Mpenzi Wa Soccer Bali Ni Mshabiki Wa Chandimu.

Na nilimuona Zaidi Kuwa Ni World Class pale Alipousoma Mchezo Ndani Ya Dakika 5 Kuwa Upande Wa Kulia alipo Clyne Ni Tatizo Wakati yeye anacheza Wing ya Kushoto.. Kwahiyo Fast Kaswitch Kulia Baada Ya Kuona Upande Wa Kushoto Wa Liverpool Ni Uchochoro ambao Moses Kashindwa Kuutumia.
Kwahiyo Alienda Upande Wa Wing ya Kulia Kambirua Moreno Kafunga Goli baadae Karudi Kushoto Kupotezea Muda.
Sasa Ni World Class tu Ndiyo Kwenye Akili Kama Hizo za Kusoma Mchezo na Kuangalia Weakness ya Mpinzani ikoje.

Xhaqiri anadrible Vizuri lakini anakosea Kwenye Decision Making Pale Kwenye How and When to pass the ball kwa his teammate.

Kwa nini mnamuonea Moreno?????

Mpaka Hazard anamfikia Moreno ni wachezaji wangapi alikuwa amewapita?

Mbona hamumsemi Firmino aliyepigwa tobo na badala ya kuendelea kukaba akabaki hivyo hivyo????

Kwamba angekuwa Robertson angefanya nini kama cover yake imepitwa? Anzeni kumsema firmino kabla ya Moreno. Heri hata Keita aliendelea kukaba mpaka shuti la mwisho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom