Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nnashakka watajiandaa zaidi wakiamini wamechokoza simba mwenye njaa hivyo watakuja na mbinu kali zaidi hapo ndo pakupima ubora wa wachezaji wetu
 
Jamani msiwe na wasiwasi
Wachezaji walio anza leo ni wawili tu ama watatu ndiyo wataanza Jumamosi
Liverpool hafungwi na Chelsea EPL
Msiwe na wasi wasi,hata jana Dan alikuwa anaimaliza ile mechi mapema kabisa
Kwan chelsea walikua wana wachezaji wangp watakaoanz jmos
 
Jamani Musiwe Munapost tu Bali Jifunzeni Mpira.
Matokeo na Mechi Ya Jana Has nothing to do Kwenye Premiere League.

Tambua Kuwa Jana Chelsea ndiye aliyeamua Ushiriki Wa Liverpool Kwenye Mickey Mouse Cup, Lakini Kwenye EPL Chelsea siye atakaeamua hatma ya Liverpool.
Kinachonishangaza humu ndani wengi wenu bila kujalisha umri hamjawai kushuhudia Liverpool akichukua epl 5 ukizingatia miaka 80's Tanzania yetu hata TV hazikufika 50 nchi nzima, mshabiki wa chelsea 2004 hadi sasa anayo furaha kuliko mshabiki wa liver Tanzania kuanzia mwaka 1977 ,acheni mbwembwe wakati ubingwa wa liver umeuona you tube, mfano king Ngwaba niambie umeshuhudia epl ngapi liver akichukua kwa umri wako,tuache epl je makombe unayoyaita Mickey Mouse cup umeshuhudia mangapi liver kachukua ,Landa niwapongeze kufurahi na mafanikio ya Liverpool You tube. Ruksa kutoa povu
 
that Sturridge miss!

that Mignolet error for the first goal!

...what might have been.

anyways, Saturday someone is going to seriously suffer!
Mkipigwa msije mkasema kipaumbele chenu ni UEFA
 
Kinachonishangaza humu ndani wengi wenu bila kujalisha umri hamjawai kushuhudia Liverpool akichukua epl 5 ukizingatia miaka 80's Tanzania yetu hata TV hazikufika 50 nchi nzima, mshabiki wa chelsea 2004 hadi sasa anayo furaha kuliko mshabiki wa liver Tanzania kuanzia mwaka 1977 ,acheni mbwembwe wakati ubingwa wa liver umeuona you tube, mfano king Ngwaba niambie umeshuhudia epl ngapi liver akichukua kwa umri wako,tuache epl je makombe unayoyaita Mickey Mouse cup umeshuhudia mangapi liver kachukua ,Landa niwapongeze kufurahi na mafanikio ya Liverpool You tube. Ruksa kutoa povu

Khe khe khe kheeeee.


Wana UEFA ya 2005
 
Jana Azpilicueta alicheza hovyo kuliko siku nyingine yoyote na bado walishindwa kutufunga.

Christensen ndo alizidiwa kabisa nguvu na Shaqiri ila bado hawakuweza kuambulia chochote.


Halafu hiyo timu inajipa moyo tukikutana Jumamosi itatufunga. If you didn't win at our lowest, do not expect anything at our best.

#CFC #KTBFFH
 
Jana Azpilicueta alicheza hovyo kuliko siku nyingine yoyote na bado walishindwa kutufunga.

Christensen ndo alizidiwa kabisa nguvu na Shaqiri ila bado hawakuweza kuambulia chochote.


Halafu hiyo timu inajipa moyo tukikutana Jumamosi itatufunga. If you didn't win at our lowest, do not expect anything at our best.

#CFC #KTBFFH

Leo tutawakoma aisee, ila ndo mchezo ulivyo, kwenye sports kuna kitu tunaita "Living the moment", jana ilikuwa our bad moment.

It's my hope that we will regroup and come up strong in our next game, though it hurts to lose on our floor, with our supporters.

We are Liverpool, YNWA.
 
Leo tutawakoma aisee, ila ndo mchezo ulivyo, kwenye sports kuna kitu tunaita "Living the moment", jana ilikuwa our bad moment.

It's my hope that we will regroup and come up strong in our next game, though it hurts to lose on our floor, with our supporters.

We are Liverpool, YNWA.

Labda mjaribu mechi na Napoli. Hii ya Jumamosi mjitahidi kutafuta draw tu mkuu.

Ushauri wa bure. #imfikieKlopp
 
Kinachonishangaza humu ndani wengi wenu bila kujalisha umri hamjawai kushuhudia Liverpool akichukua epl 5 ukizingatia miaka 80's Tanzania yetu hata TV hazikufika 50 nchi nzima, mshabiki wa chelsea 2004 hadi sasa anayo furaha kuliko mshabiki wa liver Tanzania kuanzia mwaka 1977 ,acheni mbwembwe wakati ubingwa wa liver umeuona you tube, mfano king Ngwaba niambie umeshuhudia epl ngapi liver akichukua kwa umri wako,tuache epl je makombe unayoyaita Mickey Mouse cup umeshuhudia mangapi liver kachukua ,Landa niwapongeze kufurahi na mafanikio ya Liverpool You tube. Ruksa kutoa povu

Asili ya Neno hili {Kutoa Povu} wote Wanaolitumia Ni Watu Wanaofanana! Na Katika Zunguka Yangu Vyuoni Kwa Functions mbalimbali, Makongamano ya Wasomi, Mitandaoni na Meeting Nyingi tu Sijawahi Kuona Wasome Wakitumia Neno hilo.
Ni wazi Kuwa Mwanzilishi Wa Msamiati Huu Ni Mjinga that is Why Wote Wanaolitumia Huwa Ni Wajinga.

• Msomi anapozungumza Huishia Kwa Kuomba Opinions and Challenges.

• Mjinga anapozungumza Huishia Kwa Kuomba Watu Watoe the so called Povu.

Nimekujibu Hivyo Kwasababu Hiyo Yako Wewe Ni Bloody Nonsense na Sio post ya Kimpira. That is why na mimi Sikukuquote Kimpira Bali Nimekuquote kulingana na akili zako Zinavyohitaji.

Wanaotoa Post za Kimpira Kina Mentor siwezi Kuwajibu hivyo.

Hilo ndiyo Povu uliloliataka

TO BE HONEST: "This is my first and last Quote to You"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom