Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
Kwenye mpira kuna key player,liverpool Salah ndio key player mipango yote imejengwa kipitia yy,huwezi mfananisha Lallana ambaye karibia msimu mzima alikwa majeruhi ,hana hata mechi fitness alafu mfananishe mchezaji aliyechukuwa tuzo zote uingereza utaonekana chizi.Ramos usimuone mjinga kufanya vile aliona ,ubora wa Liverpool upo sehemu gani,kwani mpaka salah anatoka Liverpool walipossess na create nafasi na kama hujui Marcelo ndio source ya magoli yote kama umefuatilia Madrid ,nusu magoli yao marcelo lazima hausike kwa namna yoyote na Salah alikuwa anamzuia Marcelo kupanda na Marcelo sio mzuri ktk kukaba kwa hiyo Casamero,Kroos,Ramos na Marcelo wote macho yao yalikuwa kwa SALAH na ndio maana viungo wa Liver walitawala sana.Kosa la Liver ni moja tu kukubali lile tukio kuwatoa mchezoni basi kwani hawakuonyesha ukomavu wao ,ukija jumlisha na yale maboko mawili ya kipa ndio yaliwaua.Unachongea ww ni sawa ufanishe umuhimu wa Ronaldo na Asensio au Messi na dembele kisa wote ni watu bila kuangalia uwezo wa huyo mtu husika.
1.Sio jana tu siku zote Liverpool wanacheza vizuri first half second half wanakuwa wabovu
2.Real Madrid huwa hawachezi vizuri first half second half wanakuwa hatari
So ukicheza na Liverpool hakikisha wasikufunge first ikifika second half washambulie lazima utawafunga.First half Marcelo huwa anacheza kama beki but second half anakuwa winga